Sana mkuu,Bado kikosi hakijawa timu, ila kama itaendelea hivi huko mbeleni mda wa vicheko kwa wanaSimba utakuwa wa muda mrefu mno.
Pamoja na Mzamiru, pale katikati Yanga wanacheza peke yao
Tunaomba mwaka huu utupe tkwimu za Kihasibu kuhusu usajili uliofanyika mkuu.Pamoja na Mzamiru, pale katikati Yanga wanacheza peke yao
Simba hii hii ya ubaya ubwela
Hili goli, lawama ni kwa kapombe, haiwezekani beki wa pembeni(RB, LB) ukae chini kuliko beki zako za kati(CBs)
Acheni hizo mambo aseeLugha inabadilika hapa,hawa si watoto wa 2000 jmn
🤣🤣🤣🤣Hapo kosa ni lazimen sio referee
Tusubiri mpira uisheSana sana huto tushabiki twa Yanga
Wateketezee life ban
AaahaaaAcheni hizo mambo asee
Ha ha ha naona upo active mkuu.A Friendly Reminder: Wale wote walioweka ahadi kuhusu mechi hii, ahadi zao zitatekelezwa. Bado dakika 45
Asanteni
Tunaomba mwaka huu utupe tkwimu za Kihasibu kuhusu usajili uliofanyika mkuu.
Jiangalie mkuuAaahaaa