Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Ndio niniDr Restart tumpe ephen_ diazepam au lorazepam?
Ohhh, sorry mkuu, sikuwa ninajuaVigezo na masharti kuzingatiwa ,JF staffs hawatakiwi kuingia kwenye mijadala 😀 😀 😀
DaahNasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
Kabisa Mzamiru haileweki anacheza FullBack ama anacheza Midfield ama anacheza nini yaani ilimradi kakimbilia Mpira tu hovyo hovyo..Na nduguye mzamiru yasini.
Kulikuwa na Debora Mwenda RTD miaka hiyo,wana undugu?Kuhusu DEBORA FRENANDEZ sitaki maoni yenu, jamaa anaujua mpira.
ANAUJUA.
A na B yote majibu MkuuWewe mwanetu Simba au Yanga?
Kwani kuna shodooAcheni hizo mambo asee
Hili cheko alione Tsh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sijajua labda huko kwenye mazoezi huwa ana vitu vya kumshawishi kocha.H
Hivi kwanini huyu Kapombe bado anaanzishwa hizi big game.