Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 292
- 895
Si hauna adabu wacha tugombane tu.Mpira usitugombanishe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dokta tulia utapata presha bure! Mpira na umri lea wajukuuWalau Okejepha kal eta utulivu katikati.
kashakula kimokiKipa tunaeeeede💚💛🖤💪💪🕺🕺🕺
Wamepata kipa mzuriIla Debora FC wana kiba. Huyu Mussa Diara ni kipa mzuri.
Alafu aingie nani? Debora au?Kocha si amtoe balua kubabake
mshaanza kutukana 😂Simba timu ya kipumbafu
Dah itakuwa Maana kiwango kimeishaSijui ndio uchawi, misimu kama miwili hivi mzamiru kaisha, lakini yupo tu, au anagawana posho na kiongozi mmoja pale msimbazi..