kashamalizwa nguvuManager wa Azizi aingilie katiii🥹
Unaona kabisa timu inatembea ,ni kumpa muda tu kocha.kulingana na hali mliyokua nayo ni sahihi
Hawajaelewana kwani nani kawagombanisha?Kwani mnaupiga mwingi kwa hawa vijana ambao bado hawajaelewana vizuri?
kusukuma ule mshundu unazan n mchezomobeto mobeto mobeto umemfanya nini azizi keeeey?
Simba ni mpya'Ameua katika eneo zuri kabisaaa, Simba anachapwaaa hapaaaa, Sssssimbaa anagongwa msumariiiii, Sssimbaa anakula chumaaa, Ssssimbaa anakula bombaaa wooowww jastiii wooowww Maxi warafantasi Goooolll”
Goli linaweza kuwa la kawaida tuu ila mtangazaji ndo akakukwaza zaidi ya goli.
Yaani Mpenja Fala sana
Acha hizoHawajaelewana kwani nani kawagombanisha?
Msimu ulio pita mli shangilia sana kubeba ilo siniaHivi kombe linalogombaniwa ndio ule msinia? Kama ni lile sahani Simba wacheze tu kiboss watupe burudani
Hahhhahahkusukuma ule mshundu unazan n mchezo
Kasema alikamwe amchukue mkeweNdo basi tena😆
View attachment 3064793
Huyu ni wa yanga simba tunalipa viingilioNdo basi tena😆
View attachment 3064793