Mko vizuri sema leo mmekutana na maji marefu.Shadeeya hongera sana mna timu nzuri na mna uzoefu ila simba umeionaje?
kashaomba msamaha mapemaaaa kipind hakwanzaNaomba mnialike kwenye kumla mke wa Mwijaku.
Lete korodani hizo.....tuchome tukule na chipsNasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
Unaongea huku ukitafuta mganga wa kuwaloga kina mutale, kina mukwala na wenzake.Timu inasajili wachezaji 14 halafu hamna kitu 🤣🤣🤣🤣
Makolo ni Makolo tu
Mungu peke yake ndo anasamehe.kashaomba msamaha mapemaaaa kipind hakwanza
Offsides mbili za mchongo zimemnyima Yanga magoliRefa leo kawabeba sana makolo
Unakua kama huwajui makolo,pamoja na kufungwa awatoacha shomboLeo nimechoka, ngoja nipumzike kesho ndio nitazifufua posts zote za shombo.
Tuone ni midomo ipi iliyofungwa…
Mdakuzi
Wananchi wenHivi hiki ndo kinaitwaga kimoja cha mkwenini vileee? 🤣🤣🤣
Jidanganye kwa mashabiki wa simba oya oya😆😆Mko vizuri sema leo mmekutana na maji marefu.
Vi prisons na vi pamba mtavionea sana.
Uko wapi......Kesho nampiga Utopolo viwili nakula beer zangu nyama na ndizi then kulala.😂😂😂
Mi nilipocheki kipindi cha kwanza tu nikasema hii ni timu.1-0, kikosi kipo. Huko mbeleni tutacheka
Kabisaaaaaaa!!!"YANGA BINGWA" - GSM
Nipo na coconut oil hapaMwijaku tunaomba mke wetu