Acha wagongwe mapema ili wakae sawa, maana ujinga unaendelea lakini walikuwa wanajifichia kwenye ushindi. Timu ilianza kuyumba mapema sana lakini hawakusikia. Hivi vipigo vitawarudisha kwenye drawing tableNyinyi mna lingine zaidi ya points. Furahieni, maana hamna furaha nyingine zaidi ya hii.
Nikiwa msimbazi hapa πΉmy loveeeee
Evelyn Salt unalia ukiwa wapi??
hufahamu usajili wa tabora msimu huu mkuu acha ubishi, rejea mechi ya simba na tabora wachezaji wangapi hawakuwepoKama ningekuwa nimeanza kufuatilia mpira jana basi ningesema tabora ni timu kubwa kwa kuangalia mwenendo wao wa msimu huu tu, tabora hii hii ambayo msimu uliopita imeponea chupuchupu kushuka daraja ndio mara hii imeshakuwa timu kubwa, nasisitiza kauli yenu mlisema mna kikosi kipana na leo hamko pungufu sasa shida iko wapi leo hii beki mmoja tu kukosekana kikosi kimeflop
πtuna cheza kimazoea sifa za mitandaoni zina ponza hiziNa watakuja tena kucheza mpira huu huu bila Bacca na Job tutegemee defeat 3 hii imeanza bado 2
Chifu kabisakwahiyo we jamaa umeamua kujiita
Kuna kuotewa mwanawane sii unaona Leo walivyootewa jamaa hapa...wenzao wakilenga goli tuu ujue imooooMpaka leo huwa nashindwa kupata jibu la hili swali sijui tulifeli wapi Simba
ππππKazi wanayo LeoMwiko nyuma wamekojolewa bao la 3
Naunga mkono hojaGamondi Christmas anailia Argentina π¦π·
Hii Mwiko NyumaπNyuma mwiko
Wadau kina zipompa Dr Matola PhD wameshuku huo uwanja umefanyiwa uswahili....πππMabeki mbona sio kama ninavyowajua kuna nini
Hakika ni maajabuπββοΈπββοΈπββοΈπ
Na badoMlio iroga Yanga babeki zenu.
Hao wote 3 ni usajili wa kimhemkoDube alietoa mawazo asajiliwe ni 00000