Tuliwa'worn hawakusikia...Hakuna cha pole panya buku hawa, ubaya ubwela.
sports machine ya magic fm na hili game ya clouds fm, bado kuna sports leo na kambi ya michezo. Kesho wale wachambuzi wa soka wataitetea yanga sana kwa kusema tabora walitumia makosa ya yanga ikaadhibiwa vibaya. All in all hiki ni kipigo cha mbwa kokoUmesahau Kipenga Extra
Tafuta kaniki uanze ugangaKosa kubwa kabisa walilofanya na wanaloendelea kulifanya Yanga ni kutorfudisha Manara kwenye kazi zake pale Yanga.
Watu kama ytule, vinatafutwa hata vipande vya kidole chao tena ha mfu kwa thamani yoyote ile, leo kawajia mzima yu hai, anapumuwa, mmeshindwa kuijuwa thamani yake. Mgtalia sana.
Ngoja nikamuulize@Arsis thamani ya Manara.
Ndio watu walishatoa mwili so full kuteleza tuuImekuwaje leo?
πππππ€£π€£π€£πππ€£π€£Leo kudadeq tumeyavaagaa kwa baltazarπππππ
HahahaaaaAll the best Young Africans Sports Club, The Best Team in East and Central Africaβ½
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππππ
kurudi kutoka wapiJmn wamepata kimoja, mara pah zinarudi ππππ
Humu tuuu!!!
Manara anacheza namba ngapi uwanjani?Kosa kubwa kabisa walilofanya na wanaloendelea kulifanya Yanga ni kutorfudisha Manara kwenye kazi zake pale Yanga.
Watu kama ytule, vinatafutwa hata vipande vya kidole chao tena ha mfu kwa thamani yoyote ile, leo kawajia mzima yu hai, anapumuwa, mmeshindwa kuijuwa thamani yake. Mgtalia sana.
Ngoja nikamuulize@Arsis thamani ya Manara.