Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahahaha. Mpira raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha. Mpira raha sana.
Sio nyuki kweli!!?Wachezaji wa Yanga muache kudharau timu zingine. Mtaweka historia ya kufungwa na timu zote zinazoibukia ligi kuu. Nyinyi mazoezi makali kwa madunduka tu timu zingine aaahhh.
Ila Tabora nao wachawi, pale kipa alikuwa anaona mishale tu, wee kuweza?
Imekuwa kama jana,Imekuwaje leo?
Kuna sehemu nimeitaja stars? Mafanikio ya Simba na Yanga kimataifa hujui kama yameletwa kwa mchango mkubwa wa wachezaji wa nje?Mbona mkapa haitulipi kwa njia izo pale stars
Hata sielewi nashika lipi. haikuwa siku nzuri leo asee tutarudi imara.Leo hatusikii mbeleko, hatusikii bahasha kulikoni?
Tabora mna bahati, majini yetu yalienda njia panda zote, wakakuta mmezifunga, bahati yenu mngekula mkono kama shoga zenu maduduka.
Mbeleko liligoma.Leo hatusikii mbeleko, hatusikii bahasha kulikoni?
Tabora mna bahati, majini yetu yalienda njia panda zote, wakakuta mmezifunga, bahati yenu mngekula mkono kama shoga zenu maduduka.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tena na mzinga wake, hakuna wa kudaka Tabora hatuendi tena 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅Sio nyuki kweli!!?
Hahahaha. Supu ipo?
Wacha bhana😂😂
Wacha bhana😂😂
Nunua kaniki, tunguli na usinga ingia mzigoni. Hizi sarakasi hazisaidii.Usilolijuwa ni usiku wakiza.
Nimeuliza wenye fani zao za ayansi iliyojificha )(hidden science), fata jibu huko, kama una maswali zaidi kaulize huko:
Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho
Heri, Wote tulizaliwa tukijua tumegawanyika sehem tatu yaani roho,nafsi na mwili kwa mujibu wa kitabu.Ila kusudi la Muumba lilikuwa wote tuwe MOYO (moyo safi) kwa mujibu wa mathayo 5:8 (Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.) na mithali 4:23 (Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo...www.jamiiforums.com
Hawana jambo tenah 😂😂🔥
Mbona kama mnasema kilinge chetu vijanaNunua kaniki, tunguli na usinga ingia mzigoni. Hizi sarakasi hazisaidii.