Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Nimechelewa kwenye mishe mishe; nilitaka kuwahi nianzishe uzi huu ila tena umeshanipiku. Ngoja nitafanya taimingi nzuri kuanzisha uzi wa wakati wa mchezo dhidi ya TP Mazembe.

Nitafurahi sana iwapo Yanga itapata mabao 5-0 ili kuondoa pengo la Goal Difference dhidi ya Simba
 
Kila la kheri Yanga SC πŸ’š πŸ’› chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Leo ndio utaskia milio kuwa GSM anaharibu ligi huku wale wanetu zikiwa zimebaki goli 4 tuwe sawa milio Itakuwa mwingi jioni ya Leo πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€
 
Kila la kheri Yanga SC πŸ’š πŸ’› chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Leo ndio utaskia milio kuwa GSM anaharibu ligi huku wale wanetu zikiwa zimebaki goli 4 tuwe sawa milio Itakuwa mwingi jioni ya Leo πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€
Tunaanza kupunguza gape Moja baada ya lingine,,walikuwa Wana goal difference ya 24 kwa 13 lakini baada ya mechi 2 tu ikabaki 25 kwa 21,,walikuwa wameruhusu goli 3 na yanga 6 lakini baada ya mechi 3 tiyali imebaki 5 kwa 6,, kwa Wenye D 2 ni rahisi kuelewa ni timu Gani imeongeza kitu na timu Gani inanyata mwendo wa kobe
 
Naunga mkono hoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…