Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote yanawezekana Kabisa.Nimechelewa kwenye mishe mishe; nilitaka kuwahi nianzishe uzi huu ila tena umeshanipiku. Ngoja nitafanya taimingi nzuri kuanzisha uzi wa wakati wa mchezo dhidi ya TP Mazembe.
Nitafurahi sana iwapo Yanga itapata mabao 5-0 ili kuondoa pengo la Goal Difference dhidi ya Simba
Kikosi ni kizuri. Ila hofu yangu ipo tu kwenye hiyo sub ya Aweso!! Hivi atakuwa ni yule Mh. Kijana Juma Aeeso, Wazir wa maji, au!!!View attachment 3187716
Una maoni gani kwa Kikosi hiki?
Mtu anakula 7View attachment 3187716
Una maoni gani kwa Kikosi hiki?
Kolo ameuponza 😃😀😀View attachment 3187738
Da nimecheka sana mazee
Kolo ameuponza 😃😀😀
Nimegundua unaipenda Sana YangaAaaah watoto wanahujumiwa
Badala ya kupewa freekick kutokana na kusukumwa lakini refa kaweka kona mpira ambao uliguswa baada ya mchezaji wa Fountain kusukumwa na mchezaji wa Yanga
Chama langu hilo naachaje kulipenda??Nimegundua unaipenda Sana Yanga
Kolo tuliaAaaah watoto wanahujumiwa
Badala ya kupewa freekick kutokana na kusukumwa lakini refa kaweka kona mpira ambao uliguswa baada ya mchezaji wa Fountain kusukumwa na mchezaji wa Yanga
angalia mpira mkuu jana refa alikuja ma maelekezoKwasababu hamna pakwenda itabidi tu niangalie hivyo hivyo.