Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una stress? Mbona kurudia sms kila saaSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
Hiyo huwa ni second halfSio sindano tena saivi ni kuzidi wachezaji zaidi ya 11
Ndio ninazoUna stress? Mbona kurudia sms kila saa
Huyo mjinga simpendi tokea msimu huu uanze yaani mechi zote huyu jamaa anakuwa msaidizi wa timu pinzaniAzizi Ki mnamuelewa
Unapoteza Time yako mkuuSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
Au unahesabu na miiko!? Yanga wako mbele tu nyuma wameweka mwiko.Yanga ni kama wamezidi, nyuma wapo wangi mbele wapo wengi! Mtu mmoja anihesabie
Ndio vizuriUnapoteza Time yako mkuu
Kampikie mkeo mambo ya mpira yatakufanya uachikeSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
Uko sahihi ila ungeandika mara moja tu ukaeleweka kwa watakaokuelewa , unachofanya hapa ni fujo hizi sasaSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
Tutamchinja Pasaka.Azizi Ki mnamuelewa
Kwa mpira huu? Mazembe anakufa nyingi
Inabidi tuwaite 'Tp Wazembe ' ...Mazembe wanachekesha sana wanavyocheza[emoji16] wanapoteza poteza tu mipira
Una stress wewe, si kuna nyuzi za siasa huko mnapambania katiba, unataka kwenye uzi wa football tujadili katiba au umevuta bangi!? Tafuta helaSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
Simba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.