Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hii ndo namba yako😃 tutakutafuta tusiojulikana😃😃0763943979
Simba angeshinda kama angekutana na mazembe hii. Hawa jamaa after kuondoka kwa cream team, ni kama wamekuwa wakijitafuta bila mafanikioHawa mazembe wanafanana kila kitu na Simba fc.
(Mazembe ni Simba waliochangamka)
😂 😂 😂 😂 😂
Ukifikiwa na gusa achia twende kwao ndio utajua kama mazembe wameshuka ama wamepanda, kwasasa tulia tu kikombe hiki kitawapitia wengiSiteseki ila naona kuna muujiza huku....
Sema Mazembe nao wameshuka viwango...bora SIngida Big Stars
Mkuu acha uchawiSimba angeshinda kama angekutana na mazembe hii. Hawa jamaa after kuondoka kwa cream team, ni kama wamekuwa wakijitafuta bila mafanikio
Mwanetu vipi? hakuna updates yoyote🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 TotalEnergiesCAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚TP Mazembe
📆 04.01.2025
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 4PM (EAT)
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 3191850
bila mapenati hamtoboi...🤣Simba ina ladha yake kwny ligi na huko CAF jamani...ngoja kesho..
Umesha mtafuta mkuuIkifika saa 12 jioni nakutafuta
Soma ubaoHakuna timu hapa.
Mazembe hii si ya kina 2019-2020, team disorganized ,overrun, hawana hata backup plan uwanjani? Hawa hata tukiwapa singida hawaend mahaliMkuu acha uchawi
Mumshukuru sana kayoko.kwa kutotoa red kwa hamza na penalti ya musonda,all in all match kayoko atokuwepo mtegemee kipigo cha mbwa mwizi kukipata
Kolo Muhan.Nitakkumbusha hii baada ya mechi
Hakya Mungu hutaamini mtaniHawa vyura wanaweza vuka makundi kimiujiza hivi hivi
Kumbe hii ndo namba yako😃 tutakutafuta tusiojulikana😃😃
Mchawi hata akizeeka bado tu ni mchawi🤣
Sahihi kabisa, Mazembe ni kama Simba. Wana ubingwa wa Afrika mara 5 na ni vigogo wa Caf CL kama Simba...myie endeleeni kujitafutaHawa mazembe wanafanana kila kitu na Simba fc.
(Mazembe ni Simba waliochangamka)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]