FULL VIDEO: Harusi ya Dogo Janja na Irene Uwoya

FULL VIDEO: Harusi ya Dogo Janja na Irene Uwoya

Hatimaye kile kitendawili sasa kimeteguliwa. Sio kiki ya muziki wala movie mpya kama ilivyodhaniwa.

Nimewaletea video ya tukio zima la harusi kati ya Mr & Mrs Chande.


Duh....[emoji15]....kwel mashikolo mageni kma co ushant@
 
Kuna watu hata siwaelewaji kabisa, sometimes nashindwa kuelewa watu wanayachukuliaje maisha...Thinking capacity, understanding or opportunists. Mgombea ubunge wetu huyu sijamwelewa kabisa..
 
Kula mboga za juzi wakati fresh zimejaa jikoni.............huyu dogo ana roho ngumu.
Kuna watu wanapenda viporo, hata ukimpa kitu fresh anaweka uvunguni aje kula kesho.
 
Jamani si walisema irene ana ngwengwe
Walisema hivyo hivyo kwa Mh Mbunge Haule....mpaka aliimba kwenye wimbo KIPI SIJASIKIA......"wakasema nina ukimwi kwa kuwa nilikonda ghafla...wanataka kunizika mzima kabla sijafa..waliosema nina ngoma wengine tushafukia".
 
hapo utasikia kuna movie tulikuwa tunaandaaa
 
Walisema hivyo hivyo kwa Mh Mbunge Haule....mpaka aliimba kwenye wimbo KIPI SIJASIKIA......"wakasema nina ukimwi kwa kuwa nilikonda ghafla...wanataka kunizika mzima kabla sijafa..waliosema nina ngoma wengine tushafukia".
Kweli aisee
 
Kuna watu hata siwaelewaji kabisa, sometimes nashindwa kuelewa watu wanayachukuliaje maisha...Thinking capacity, understanding or opportunists. Mgombea ubunge wetu huyu sijamwelewa kabisa..

Rejea Rais wa Ufansa na mke wake. Tena anaongoza taifa kubwa lenye watu wenye elimu na uelewa mkubwa wewe hata robo ufikii. Halafu ndiyo urudie hayo maneno yako. Mbunge kitugani bwana.
 
Wana leaving certificates za form four au wameoana bila qualifications?

 
Kuna watu wanapenda viporo, hata ukimpa kitu fresh anaweka uvunguni aje kula kesho.

Salute mkuu...signature yako imenijibu.."Usipuuze Wajinga, haswa wanapokuwa Kundi."
 
Huyu Uyowa hata one night stand sinunui. Dogo nyege zinampeleka mbio
 
Back
Top Bottom