Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini



Huwezi kuwa na Utajiri mkubwa hivyo Tanzania na magali yasiyokuwa na maana ukizungukwa na masikini. Kusali na masikini sio kitu, kusaidia ni kitu..
Hapa Bill gates yuko `India anasaidia. Kukaa na wenye ni chini ni tajiri na anatumia Mali yake kuwainuwa masikini duniani


Kusali na masikini musikiti mmoja sio kitu, kusaidia ni kitu.. Kuwa na Utajiri wa kurundikiza magari kwenye nchi hata barabara haina ni ujinga. Bill Gates anashare Utajiri wake na madikini sio tu Tanzania bali dunia ujinga,

Redirect Notice
 
akili yako imejaa upumbavu uliopindukia..Zero brain..nonsense..
 
Kwanza nimekuuliza "ina maana mtu aache kuishi maisha anayomudu eti kisa kuna maskini as if huo umaskini amegawa yeye?" Jibu kwanza hilo swali!'

Pili, ikiwa viongozi wa serikali wenye wajibu wa kuondolea wananchi umaskini na wenyewe wanaishi maisha ya anasa; how come unamtaka raia asiwe na wajibu huyo yeye awe ndie wa ku-sacrifice his/her happiness? JIbu swali la pili or else maelezo yako ni baseless!

Tatu, umesema Bakhresa amejiwekea ukuta! Unafahamu maana ya msemo kujiwekea ukuta au umeutumia tu bila kufahamu matumizi yake?! Nikakupa mfano kuonesha madai yako kwamba amejijengea ukuta ni madai yasiyo na maana yoyote!

Mtu aliyejiwekea ukuta ni yule ambae ameji-exclude na jamii kitu ambacho kwa Bakhresa sio kweli kwamba ameji-exclude na jamii!

Btw, umefahamu vp kwamba Bakhresa hasaidii watu?! Au kwavile hujawaji kusikia "Bakhresa Foundation" kama unavyosikia Bill Gates Foundation?! Au unadhani kila mmoja akitoa misaada anaenda kwenye tv na radio kutangaza kwamba amesaidia watu? Na kwa mtazamo wako huo bila shaka unaamini tajiri pekee anayesaidia watu Tanzania hii ni Mzee Mengi peke manake hata akilisha watu ubwabwa pale Diamond Jubilee, lazima pawe na kipindi maalumu ITV kuonesha watu wakitandika pilau!!!!

Look here:

Unataka kusema hiyo Certificate of Recognition imetokana na mchango wake wa kuuza unga na icecream?
 
Yani ww ni bure kabisa. Kichwa kipo waz. Ulitaka akajengewe hotel ya nyota5 kiguma??
 
Wivu
 
Mikocheni wanakaa maskini? Mbona umekomalia kajenga nyumba katikati ya maskini? Ingekua manzese si ungekufa kabisa. Yani kwenye watanzania wenye wivu ww namba 1
 
WATU MASKINI WAKO BUSY KUJADILI MAISHA YA WATU, HUKU MATAJIRI WAKIWA BUSY KUJADILI MIPANGO YA KIUCHUMI.
 
Ahahahaha! Rafiki ......

 
Nafikiri focus ni kitu muhimu sana kwenye maisha. unapo poteza hii kitu ni ngumu kufikia goal zako

Jazia nyama mkuu tuelewe shule hiyo unayoisemea ni ya kiwango gani na kuchapa kazi huko unakozungumzia ni kupi?
 
Anaishi "MAISHA YA RAHA ZA AJABU"
 
Acua kujijaza ujinga wewe ,kwa taarifa yako bill gates ana one of the most technological advanced houses in the world,anaishi maisha ya kifahari sana tu,tafauti yake ni kuwa huwa hajitangazi wala kuonyesha bata zake,we unadhani watu wanatafuta hela ili wapigie picha ama?.

Huko ulaya unakokusifia ndio kunaongoza kwa watu kuishi maisha ya anasa,hao waarabu unaowazungumzia wameanza kutajirika juzijuzi tu baada ya kugunduliwa mafuta,ndo maana wanakuwa na show off nyingi

Na ukae ukijua umasikini hautakaa uishe duniani,hata utajiri wote uliopo ungegawanywa sawa kwa kila mtu baada ya muda mfupi utarudi kwa wale wale waliokuwa matajiri mwanzo.ndo dunia ilivyo

Na kama kuna mtu anatoa misaada Tanzania hii basi Bakhresa na familia yake wanaweza kuwa wanaongoza,ila wengi hamjui tu.sababu wameamua iwe hivyo.
 
Hzo phantom mbn hatuzionag mtaani
Inategemeana na mitaa unayoishi mkuu,au unayopenda kuzungukia.Bongo hapa kuna watu wanamagari ya kila aina ambayo ukihadithiwa huwezi kukubali kuwa yapo.kuna gari la luxury nliona limetoka model mpya huko ulaya ndani ya miezi miwili nikalikuta bongo.
 
akili yako imejaa upumbavu uliopindukia..Zero brain..nonsense..

Nonsense, do you know even the meaning of nonsense you idiot. Where do yo drive a Royce Royce in Dar es Salaam, where there are only two tarnacked roads. Someone with no brain will build a swimming pool where majority are looking for water to drink.
 

Hata Lugumi anatowa msaada, hata Acacia pia wanatowa mchango, ukichunguza ni pesa za `Watanzania zinaibiwa Kijanja wakisaidiwa na Viongozi wetu.
 
Huyo ndio yule malaika anayetakiwa kuishi kama shetani kwa mujibu wa mkulu???
 
Poor you, you are so angry the language is giving you problem.. Ngumbalu inakuita. By the way are you related to Bakiressa? Why are you on defence? Or because he is rich. Be proud money is not everything, humanity is.
hahaha..usi-panic kwanza sio Bakiressa=bakhresa.. nimesha-kujuza wewe ni mshezi/upuuzi na una mtindio wa ubongo.. .. Jaribu kupevuka ki-fikra na kiakili zaidi ya hapo utazidi kuonekana mwendawazimu na mpuuzi na kuambulia maneno machafu..Je kwa point zako dhaifu na nyepesi hudhani kwamba na wewe umejiwekea ukuta mzito katika jamii yako kwa lugha unayotumia..( kwa sisi wa standard 7).. Ndio maana nakuambia hujui na hujui kwamba hujui.Ovaaaaaaaaaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…