Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

Mtoa mada umemuweka matatani mwenye Mali zake.
Maana utasikia miezi 3 ijayo, ataanza kusingiziwa kesi na kupimwa haja ndogo.

Nahisi polisi wataanza kufika maeneo hayo muda si mrefu kuanzia sasa.
 
Maisha hayana mshindi pambana kutafuta peace of mind. Maisha halisi ni yale ambayo unayaishi yanayokupa furaha na amani, kwa kujikubali ulivyo na kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo. Pambana jichunguze ujielewe wewe ni nani hapa duniani then do your thing pambana na maisha haya na mahitaji yake lakini usiyaruhusu yakuzuie kupractise ule utu wako wa asili uliozaliwa nao, ile talanta, kile kipaji, ule uwezo wako, ile sifa yako unique, kwa ufupi maisha huwa tunatafuta peace of mind, na hiyo peace of mind haiwezi kuja kwa kuwa na mambo mengi ya duniani, katika maisha ukishakuwa na nyumba yako nzuri ya kuishi, ukaishi kwa amani na upendo na familia yako, hausumbuki na kuwaza pesa ya kula, una uwezo wa kusomesha watoto wako pasipo mashaka, uko na usafiri wako (kwa maisha ya kibongo bongo), ukawa na afya njema na mengineyo yafananayo na hayo hakika utakuwa na furaha ya maisha yako.

emmyta habari za muamko dadake?
 
Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.
Ucha kukurupuka soma uelewe amesema ni ya mtoto wa bakhresa yusufu sasa sijajua amekosea wapi..muwe mnasoma...
 
Ucha kukurupuka soma uelewe amesema ni ya mtoto wa bakhresa yusufu sasa sijajua amekosea wapi..muwe mnasoma...
Hayo maneno ame edit baada ya kuwekwa sawa humu. Angalia title kwenye hiyo clip pengine ndio akili yako itafunguka.
 
Ndio shida hiyo. Hakuna hata moja linaonekana barabarani
Mbona yanaonekana mkuu. Inatokana na wewe unaishi au kupenda kutembelea sehemu gani! Lakini hizo gari huwa zinaonekana mitaani. Sema kwa kuwa hao watoto wa Bakhresa wako private sana na ni watu wa "polite" bata.
 
Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.
Kwani anapambana na yakwako???, mboni povu!!.
 
Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.
Mbona nae amesema ya mtoto
 
Mbona nae amesema ya mtoto
Nyie mlioingia sasa hivi baada ya kuedit ndio mnasoma hivyo. Mwanzoni ilikuwa inasomeka ni nyumba ya Said Salim Bakhresa. Angalia title ya hiyo clip inaweza kukusaidia kuelewa.
Pitia post #10 na post #17 .....itakusaidia pia kuelewa kutokana na hayo majibu au maelezo waliyoandika wadau.
 
Maa Sha Allah, huyu jamaa kiboko, sasa hao matajiri walioko top ten duniani wakoje!!!? Kama huyu tu wetu hali ya hom iko hivi.....
Huu ni mfano mdogo tu wa Ma Billioner wa mbele.... Hela tamu sana.....

[Roman Abramovich ] and his Crazy US$ 1.5 billion Yacht















 
Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.
Acha ujuaji mwingi..... jifunze kusoma vizur kabla ya kuropoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…