Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

Maisha hayana mshindi pambana kutafuta peace of mind. Maisha halisi ni yale ambayo unayaishi yanayokupa furaha na amani, kwa kujikubali ulivyo na kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo. Pambana jichunguze ujielewe wewe ni nani hapa duniani then do your thing pambana na maisha haya na mahitaji yake lakini usiyaruhusu yakuzuie kupractise ule utu wako wa asili uliozaliwa nao, ile talanta, kile kipaji, ule uwezo wako, ile sifa yako unique, kwa ufupi maisha huwa tunatafuta peace of mind, na hiyo peace of mind haiwezi kuja kwa kuwa na mambo mengi ya duniani, katika maisha ukishakuwa na nyumba yako nzuri ya kuishi, ukaishi kwa amani na upendo na familia yako, hausumbuki na kuwaza pesa ya kula, una uwezo wa kusomesha watoto wako pasipo mashaka, uko na usafiri wako (kwa maisha ya kibongo bongo), ukawa na afya njema na mengineyo yafananayo na hayo hakika utakuwa na furaha ya maisha yako.

emmyta habari za muamko dadake?
Comment of the Year mkuu.
Watu wanauza utu wao wakati maisha yenyewe haya hayana guarantee.
Ingekua tunaishi milele ingemake japo sense!
Simpo life. Peace of mind ni succesful life.
 
Huu ni mfano mdogo tu wa Ma Billioner wa mbele.... Hela tamu sana.....

[Roman Abramovich ] and his Crazy US$ 1.5 billion Yacht

5caafa06f78f501ff51ae53145d77084.jpg


super-yacht-luna-owned-by-russian-billionaire-roman-abramovich-is-picture-id115256561


billionaire-yacht-with-captains-chairs-large.jpg


img0130.jpg


2C4C4F0600000578-3243137-With_a_top_speed_of_25_knots_28_7mph_Balista_comes_with_a_hot_tu-a-26_1442835749425.jpg


9-2-2.jpg
d5d647cc2edec5140c3606b4012b0b34--billionaire-homes-fashion-architecture.jpg


9aaba5cbf30915137c575e42c3121063--luxury-jets-private-jets.jpg


8bf00342feedaa0954e5aa3204a2c903--billionaire-lifestyle-billionaire-boys-club.jpg
Yote ya nini ayo? Halafu apo ukute anaamka asubuhi kwenda ofisni anarudi jioni kachoka hana hata muda nayo haha maisha haya
 
Unachoshangaa nn akati kila siku king'amuzi kimeisha unakimbilia fasta kurecharge mkuu. Huku channel zenyewe za ujanja ujanja tuuu price kuubwaa
 
Cha ajabu ni kipi? Au mnataka akatoe zawadi kwa bersheaty?
 
Kweli kuna tofauti kati ya Ntu na Mtu
Mungu wa kwetu sote labda na sisi kesho tutapata
 
Hapo ni kwa yusuf sio kwwa said
Ebu msomeni upya mtoa mada nadhani mmekurupuka kujibu
Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.
 
Maisha hayana mshindi pambana kutafuta peace of mind. Maisha halisi ni yale ambayo unayaishi yanayokupa furaha na amani, kwa kujikubali ulivyo na kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo. Pambana jichunguze ujielewe wewe ni nani hapa duniani then do your thing pambana na maisha haya na mahitaji yake lakini usiyaruhusu yakuzuie kupractise ule utu wako wa asili uliozaliwa nao, ile talanta, kile kipaji, ule uwezo wako, ile sifa yako unique, kwa ufupi maisha huwa tunatafuta peace of mind, na hiyo peace of mind haiwezi kuja kwa kuwa na mambo mengi ya duniani, katika maisha ukishakuwa na nyumba yako nzuri ya kuishi, ukaishi kwa amani na upendo na familia yako, hausumbuki na kuwaza pesa ya kula, una uwezo wa kusomesha watoto wako pasipo mashaka, uko na usafiri wako (kwa maisha ya kibongo bongo), ukawa na afya njema na mengineyo yafananayo na hayo hakika utakuwa na furaha ya maisha yako.

emmyta habari za muamko dadake?
Sure. There is a big different between a house and a home
 
Back
Top Bottom