ahzan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2022
- 288
- 452
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uninasingizia, PM yenyewe umefunga [emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uninasingizia, PM yenyewe umefunga [emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu fanya bonus ya epsod mbili umalizie[emoji28][emoji28][emoji28]
Kama hii picha ni yako hongera,ila kama si ,ako basi Moderator wachukue hatua stahikiDah! Ila mkuu mbona kama hii story ilishaisha baada ya mama mwenye nyumba kukufuma na mwanae K, Tukizingatia kichwa cha habari “FUMANIZI LA MAMA MWENYE NYUMBA’’
Hapo kwa mwahija hapo tutakaa sana hapo hiyo familia kama sio wangoni basi watakua akina nanilii kule kwakina shujaa wa kule bwana juzjuz tu hivi kaibuka maana hawajui kukataa hata kidogo..Ukapigwa chapuo hadi ukamsahau demu wako dah..Aise!
Taswira ya mwahija ikanijia ghafla[emoji116]
View attachment 2419886
Ukileta ya Mwahija nitagHatari na nusu hii
Aibu sana.Aiseee maza house kageuza nyumba yake danguro anajiuza mwenyewe
Dah nimecheka kinoumaaa[emoji38][emoji38]Hapo kwenye mpangaji kukaa sehemu mpaka akaanza kufuga nimecheka sana. Kuna jamaa yangu hapo mwanza kapanga mahali kafuga mbuzi kama 60 nilivyoenda kwake nilicheka sana anajiita mwenye nyumba msaidizi since wapangaji wote wamemkuta.
Uzi unaamsha vilivyolalaKwann mkuu? [emoji28][emoji28]
Nikuje?[emoji23]Uzi unaamsha vilivyolala