Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
HUYO MGONJWA (MCHEPUKO) KAJIPAMBANIA MNO, ILA WANAUME TUNA MBINU SANA AISE [emoji16]Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
upewe maua yakoHuu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
Muwekee maua na hela tuone imekaaje.upewe maua yako
Ila kuna wanawake wanajua kupenda jamani...dah...!kisa mume??pyeeMke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
Wee...unaweza pigana kisa mume?Aiseee daah am speechless, mume/mke anauma aisee.
Uko wapi wewe na mahari Yako ni kiasi gani? Toa majibu haraka mie tayari nimeuza Serengeti yote *****!!Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Sema na wewe aise....! Naanzaje...akuHuu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu