FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya

Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Kwakweliiii ujue mambo mengine ufanye kwa kufikiri usitake uumiza moyo wako wakati unajua kabisa hata ukimfumania hutapack vitu vyako muachane upo palepale zaidi ni kuzalilishana tu na pia sio kuwa ndo ataacha kuchepuka
 
Back
Top Bottom