FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

FUMANIZI: Mke amfumania mume (doctor) akimlaza mchepuko kama mgonjwa

Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
Bandari kwanza ndugu zangu, haya yapo siku zote. Doctor na maadili ya taaluma yake sijui kama atapona.
 
Mke mwenyewe 🐱, mitattoo matak#ni.
Mgonjwa anapigana kweli?
Ugali wa mwamba utakatika kisa kipochi manyoya
Mke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
E
 
Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya

Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
Jamani utopolo tena unakujaje hhapa?
So wee utazipiga na mume wako🤔🤔🤔
 
NAAM,
WAKATI WENGINE WANATUITA MBWA, KATILI, MNYAMA
WENGINE WANATUPIGANIA, KAMA URUSI NA UKRANE
#HAKUNA MBADALA WA MWANAUME!!
 
Back
Top Bottom