masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Upwiru mchezo......utaona tu...NAKAZIA
toka Mvuti
Toka mwembeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upwiru mchezo......utaona tu...NAKAZIA
toka Mvuti
😅 😅 😅 naendaga chanika kufata utelezi wa kizaramoUpwiru mchezo......utaona tu...
eeh jiraniToka mwembeni
Utaona tu....ukitaka unlimited utelezi😅 😅 😅 naendaga chanika kufata utelezi wa kizaramo
eeh jirani
nitamchoka daily nyama ile ile ?Utaona tu....ukitaka unlimited utelezi
Mpaka ukutane nayo Ina meno ndo utaachanitamchoka daily nyama ile ile ?
nitatoka nje kubadili ladha
Huu utopolo ndio siwezi kuja kuufanya
Eti kupigana na mwanamke niliyegundua anachepuka na mume wangu
mpaka zije zile robots za Elon MuskMpaka ukutane nayo Ina meno ndo utaacha
Tuende Kwa siro leompaka zije zile robots za Elon Musk
butiama ? tatizo singeli nyingi paleTuende Kwa siro leo
Ndiobutiama ? tatizo singeli nyingi pale
Ile comment uliiona ni ya serious? 😆😆 nikaandika kiben 5..lol..pole...mimi siww pigana kabisamume...ntapigana iwe ni sababu ya mom au babaSiku akimpata me aliye muingia moyoni ndani kabisa. Akaolewa nae afu kikampata hicho ataelewa.
Kwa kawaida ukiona huna wivu na mwenzio ujue kabisa haumpendi kabisa. Na hata ukimwona mwenzio hana hata wivu ujue kuwa hakupendi.
Kama Mrs Thabo Bester si mmesoma comment zake hapa.
Huyo bibie nilisoma comment yake kwenye uzi mmoja kuwa alizaa nje ya ndoa, japo mume wake alimsamehe .
Pole mno..naukumbuka uhuo uzi...hahaWewe umezaa nje , mume wako umpendi nyamaza Mrs Thabo Bester
singeli nyingi pale tatizoNdio
Asante naddy...sema na wewe wanaona raha wanawake kudhalilishana kisa mume .never on eathhaina haja ya kwenda kufumania , sijui unapigana! Kwanini ujitese??
Inakusaidia nini ukimpiga mtu kwa mfano?
Na ukiambiwa wapo mahali fulani eti unakwenda kuhakikisha nini? Ukishahakikisha na Ili ukijua ufanyeje sasa?
Mgonjwa wa mchongoMke wa doctor amemfumania mume wake kituo cha kazi ( cha afya), akiwa na mchepuko,
Huku mchepuko akilala utupu kitanda cha mgonjwa kama mgojwa. Ili achepuke na doctor.
SORRY FOR VIDEO.
SIO MZURI SANA.
Video deleted
Yaani hata km umefika Moro miye nipo Dar ntakukimbiza mdogo mdogo mpk usalimu amri. Hata yeye anajua nikugundua ajishike kisawa sawa.Wee...unaweza pigana kisa mume?
Hahahha....utapigana na wangapi??Yaani hata km umefika Moro miye nipo Dar ntakukimbiza mdogo mdogo mpk usalimu amri. Hata yeye anajua nikugundua ajishike kisawa sawa.
dah, nimeona uchi hapo nimedinda kweli 🙄