Hahahaaa. Bora hata mie. πchutchey
Janjjhkfjns
Wacha kutudanganya Mtani π π π Yaani umeacha hadi nafasi. Lol.
Ngoja nami nijaribu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Nimejaribu neno la Kifaransa hapa
teiusea
tejjseh
teibz
Hahahaaaa. Hatari sana Mtani.
hiyo hata kurudia mara 10 kama nikikosea n moja ..mgawanyiko wake kwenye wa maneno kwenye keyboard uko vizuri mnoWacha kutudanganya Mtani [emoji28][emoji28][emoji28]Yaani umeacha hadi nafasi. Lol.
haha Mzee wa Jamiidotnima acha aisee usije ukajing'ata.π π π π Nimejaribu neno la Kifaransa hapa
teiusea
tejjseh
teibz
Hahahaaaa. Hatari sana Mtani.
AiseeeHahahaaa. Bora hata mie. π
Uko vizuri aisee.
Nadhani tunaotumia simu ndio tunapata shida zaidi. Sababu kakeyboard ni kadogo mnoo hivyo waeza dhamiria herufi hii kumbe unatype ingine.hiyo hata kurudia mara 10 kama nikikosea n moja ..mgawanyiko wake kwenye wa maneno kwenye keyboard uko vizuri mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Na ndio kinachofuata aiseee.haha Mzee wa Jamiidotnima acha aisee usije ukajing'ata.
Mambo mengine waachie wenyewe - Smart911
Ndio. πAiseee
Mkuu simu yako ishapata coronachitcorona
Sent from my iPhone using JamiiForums
mazoea tu, natumia simu pia .. kwenye ku type siangaliage keyboard kabisa, hua nasoma nachoandika tu, ishakua mazoea, nimeimeza yote ilivyo , hata hii text nimeandika yote kwa mtindo huoNadhani tunaotumia simu ndio tunapata shida zaidi. Sababu kakeyboard ni kadogo mnoo hivyo waeza dhamiria herufi hii kumbe unatype ingine.