Fun Fact: China yaishinda Marekani na Australia mashindano ya Hisabati Ulaya

Fun Fact: China yaishinda Marekani na Australia mashindano ya Hisabati Ulaya

TPP

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
650
Reaction score
783
Interesting...

Timu ya wanafunzi ya wanawake kutoka China imeweza kuchukua ushindi wa nafasi ya kwanza katika mashindano maarufu ya hisabati ya European Girls Mathematical Olympiad yaliyo fanyika nchini slovenia

Mashindano hayo yalihusisha team 55 (38 kutoka mataifa ya ulaya).

Nafasi ya mshindi wa pili ilichukuliwa na washiriki kutoka marekani (team U.S.A) na nafasi ya tatu ilienda kwa washiriki kutoka Australia (team Australia)

Mashindano haya mara nyingi yameshuhudia ushindi ukitwaliwa kwa wingi toka China toka kuanzishwa kwake kwa upande wa wanaume na kwa upande wa wanawake.

Picha ya washindi 1, 2 na 3

20230703_200502.jpg
 
Nini kimekushangaza na kukuvutia kutoka kwa washindi katika picha ?
 
Hay mashindano nimeyaona mtandaoni lkn sikuelewa yanahusu nnna hua wanashindanaje.
 
Hay mashindano nimeyaona mtandaoni lkn sikuelewa yanahusu nnna hua wanashindanaje.
Kwa machache nayo fahamu ni kuwa mitihani ya kimashindano ya Olympiad inahushisha ushindani katika masomo kama sayansi na hisabati kwa timu washiriki( nchi washiriki )
 
Kilichonishangazani kua,kati ya hao washiriki wote wa nchi 3 ambao idadi yao ni watu 16 kuna washiriki 9 ambao wamevaa miwani za macho,wanaotumia miwani ya macho ni wengi kuliko wasiotumia.
 
Kilichonishangazani kua,kati ya hao washiriki wote wa nchi 3 ambao idadi yao ni watu 16 kuna washiriki 9 amvao wamevaa miwani za macho,wanaotumia miwani ya macho ni wengi kuliko wasiotumia.
Umeweza kuwa makini na kugundua jambo gumu lililo jificha kama hilo.

Inaweza pia kukawa kuna siri isio fahamika kati ya watu wanao vaa miwani na uwezo mkubwa wa kufaulu ?
 
Interesting...

Timu ya wanafunzi ya wanawake kutoka China imeweza kuchukua ushindi wa nafasi ya kwanza katika mashindano maarufu ya hisabati ya European Girls Mathematical Olympiad yaliyo fanyika nchini slovenia

Mashindano hayo yalihusisha team 55 (38 kutoka mataifa ya ulaya).

Nafasi ya mshindi wa pili ilichukuliwa na washiriki kutoka marekani (team U.S.A) na nafasi ya tatu ilienda kwa washiriki kutoka Australia (team Australia)

Mashindano haya mara nyingi yameshuhudia ushindi ukitwaliwa kwa wingi toka China toka kuanzishwa kwake kwa upande wa wanaume na kwa upande wa wanawake.

Picha ya washindi 1, 2 na 3

View attachment 2677531
Mmatumbi hakuna hata mmoja
 
Hayo mashindano yanawahusu wachina wa America Australia na china hivyo wote kwa pamoja ni wachina na hayo yote yameandaliwa na uchina. Hakuna mzungu hapo bali wote ni asians
 
Nchi za Africa zilishiriki ?...walishika nafasi ya ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Interesting...

Timu ya wanafunzi ya wanawake kutoka China imeweza kuchukua ushindi wa nafasi ya kwanza katika mashindano maarufu ya hisabati ya European Girls Mathematical Olympiad yaliyo fanyika nchini slovenia

Mashindano hayo yalihusisha team 55 (38 kutoka mataifa ya ulaya).

Nafasi ya mshindi wa pili ilichukuliwa na washiriki kutoka marekani (team U.S.A) na nafasi ya tatu ilienda kwa washiriki kutoka Australia (team Australia)

Mashindano haya mara nyingi yameshuhudia ushindi ukitwaliwa kwa wingi toka China toka kuanzishwa kwake kwa upande wa wanaume na kwa upande wa wanawake.

Picha ya washindi 1, 2 na 3

View attachment 2677531
Mbona wote wanaasili ya China inaonekana wachina wameiva kwenye hisabati

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Hata hao team USA na Australia ni asian pia, Interesting.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Back
Top Bottom