Saketi ya LG chogo mbele kama Flat, zinapatikana , na bei zipoje, bi mkubwa imekufa TV yake,tv zote mkuu natengeneza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saketi ya LG chogo mbele kama Flat, zinapatikana , na bei zipoje, bi mkubwa imekufa TV yake,tv zote mkuu natengeneza
Hujajibu hii coment yangu fundiKioo HISENCE inch 40 bei gani.?
Saketi ya LG chogo mbele kama Flat, zinapatikana , na bei zipoje, bi mkubwa imekufa TV yake,
Soma namba 89Hujajibu hii coment yangu fundi
Ahahah,kumbe ni tapeliKuna mtu kaibiwa na uyu fundi shorzako soma apo juu
LG yangu nche 63 inawaka alacu baada ya dakika moja hivi inazima picha.unasikia sauti tuu picha huoni.ukizima ukutani kwenye switch alafu hapo hapo ukawasha inawaka tena vizuri sauti na picha unaona ila baada ya dakika tena picha inazima unasikia sauti tuu.shida itakuwa niniSimu: 0713799522
- TV yako haiwaki?
- TV yako inajizima?
- TV yako unasikia sauti huoni picha?
- TV yako inawaka nusu hazijazi kioo?
- TV yako imeingia giza upande mmoja?
- TV yako imeua taa?
- TV yako inarangi moja, njano, blue, nyekundu?
- TV yako inawaka taa nyekundu tu?
- TV yako haina sauti?
- TV yako inaonyesha mistali?
- TV yako imeingiza mistali ya kulukaluka?
- TV yako inaonyesha picha mbili?
- TV yako inawaka na kujizima?
- TV yako inaonyesha kama mawingu ya rangi?
- TV yako inaonyesha picha inaganda?
- TV yako inaonyesha mwanga mweupe?
- TV yako inawaka haiandiki chochote?
- TV yako imepasuka ki00? vioo vipo, kioo size 32" ni 160,000, kioo 43 ni 360,000. Size zingine za vioo tuwasiliane.
Karibuni wenye tatizo na TV zenu, ofisi ipo Ilala mtaa wa Pangani.
View attachment 2599219View attachment 2599220View attachment 2599221