Fundi madish aina zote(Dstv, Azam, Startimes,FTA) nipo hapa kwa maeneo Dar es salaam mjini

Fundi madish aina zote(Dstv, Azam, Startimes,FTA) nipo hapa kwa maeneo Dar es salaam mjini

mohamedidrisa789

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
5,258
Reaction score
22,552
Fundi nipo hapa karibu kwa kazi za madish na mfumo wa tv cable ofisini, hotel au lodge karibu tufanye kazi.

Napatikana Dar es salaam mjini(mwenge, kariakoo,na sehemu zingine)

Mawasiliano
0749247929
 

Attachments

Fundi nipo hapa karibu kwa kazi za madish na mfumo wa tv cable ofisini, hotel au lodge karibu tufanye kazi.

Napatikana Dar es salaam mjini(mwenge, kariakoo,na sehemu zingine)

Mawasiliano
0749247929
Eti fundii...
Nikifunga dish la dstv nikaweka lnb ya azam na deki ya azam tv itaonyesha?
Au niweke dish la azam kingamuzi cha dstv na lnb ya dstv itaonyesha?
 
WATU WA ARUSHA.... ARCHUGA.....

FUNDI WA
1....AZAM
2.... DSTV
3.... STARTIMES
4..... KUFUNGA TV UKUTANI
5.... MAREKEBISHO YA UMEME WA NYUMBANI
+255 621 154 652
HUDUMA SAFI YA UHAKIKA
 
Eti fundii...
Nikifunga dish la dstv nikaweka lnb ya azam na deki ya azam tv itaonyesha?
Au niweke dish la azam kingamuzi cha dstv na lnb ya dstv itaonyesha?
Itaonyesha vizuri tu wala hakuna shida yoyote ile🙏
 
Back
Top Bottom