makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Gari tunaitengeneza kawaida, ikigoma tunjua imerogwa tunapiga manyanga ngoma inatulia. πMwaka huu naleta huduma kama hiyo lakini kwa bei rafiki kaeni mkao wa kupata huduma bora kwa bei rafiki
Yule si fundi Bali anatafuta fursa alipe Kodi na chakula MjiniNaona post zake Insta akitoa maelezo kuhusu service za magari,anatoa darasa zuri sana kupitia video clip zake,hasa kwenye kuibiwa masega anayemfahamu kwa undani pliz ni fundi mzuri kwa vitendo au janja janja?View attachment 2468947View attachment 2468948
Uzuri analijua Soko la bongo ambao wanataka show-off social media. Binafsi simkubali Bora nikalanguliwe Total energies kuliko kwakeHuyu mwamba sina shaka na huduma zake ila bei zake ni za Masaki/Masaki hivi πππ usije ukakurupuka utaumia π€£π€£π€£
Huyu mwamba sina shaka na huduma zake ila bei zake ni za Masaki/Masaki hivi πππ usije ukakurupuka utaumia π€£π€£π€£
Hahahha naona wahuni mmeishi nae kimwamba.Yil
Yule si fundi Bali anatafuta fursa alipe Kodi na chakula Mjini
Kwa uzoefu wangu kufungua garage huku ukiwa na mafundi guru ni kazi sana. Maana garage bado mpya kazi hupati kabisa au zinakuja chache, siku inaisha jioni ofisi haijaingiza chochote inabidi uingie mfukoni umpe fundi chochote kitu mkono uende mdomoni. Vinginevyo fundi atakuvumilia siku chache baada ya hapo ataanza kukupa sababu za kutofika kazini, ukiona ivyo ujue kasharudi kwenye kijiwe chake cha zamani.fungua mwamba maana naamini kwa kuwa wayajua magari huduma itakuwa nzuri tena weka mafundi guru wa vyuma (bmw, benzi, audi, vw) vya ulaya na gari wasizopenda akina fundi juma kama mitsubishi, nissan
uko sahihi sana mkuuKwa uzoefu wangu kufungua garage huku ukiwa na mafundi guru ni kazi sana. Maana garage bado mpya kazi hupati kabisa au zinakuja chache, siku inaisha jioni ofisi haijaingiza chochote inabidi uingie mfukoni umpe fundi chochote kitu mkono uende mdomoni. Vinginevyo fundi atakuvumilia siku chache baada ya hapo ataanza kukupa sababu za kutofika kazini, ukiona ivyo ujue kasharudi kwenye kijiwe chake cha zamani.
Kama hutajali, naomba nisaidie bei yake kuweka tinted. [emoji1317]Dr Toyota yuko poa sana,
Aliniwekea tinted mpaka Leo iko vizuri[emoji817],
Mafundi wengi wa mtaani ni wezi,
Akitaka kukuwekea tinted anakuwekea jioni au usiku.
Wacha weeh!Tinted had uwekee na fundi Mbna wavivu hv
Aisee..Huyu mwamba sina shaka na huduma zake ila bei zake ni za Masaki/Masaki hivi πππ usije ukakurupuka utaumia π€£π€£π€£
Kama hutajali, naomba nisaidie bei yake kuweka tinted. [emoji1317]
Jumla ilikuwa 150,000/=
Nadhani Full na kioo cha mbele
Tena kioo cha mbele kinaiuwa White mtu hawezi kujua kama ni tinted ioa ndani huoni