Fundi magari anaitwa Dr.Toyota anajua kweli au mbabaishaji tu?

Fundi magari anaitwa Dr.Toyota anajua kweli au mbabaishaji tu?

Dr Toyota sio fundi, ni muuza Accessories.
Ila leo nimejaribu kufatilia garage yake naona jamaa anavifaa vingi vya kisasa, Na mafundi wapo vijana wa kazi na ule usafi wa garage umenishawishi nifikirie kumtumbelea hahaha!
 
Daah, kuna Rasta mmoja hivi ni Mzee yupo na Binti yake naye Rasta kule Arusha...

Yule akiitwa Daktari Bingwa wa Toyota nakubali aisee

Kwa huyu simjui na sijamfuatilia bado
 
Ila leo nimejaribu kufatilia garage yake naona jamaa anavifaa vingi vya kisasa, Na mafundi wapo vijana wa kazi na ule usafi wa garage umenishawishi nifikirie kumtumbelea hahaha!
Alivyoshika soko la accessories, akaanza kuingia kwenye kuprogram funguo, wheel balancing, tint, nk.

Sasa kaanza ufundi kwa kuchukua vijana na kupiga nao kazi.

Kama tu kubadirisha oil nk just go, ila kama gari lako liko sensitive na mafundi usipeleke.
 
Alivyoshika soko la accessories, akaanza kuingia kwenye kuprogram funguo, wheel balancing, tint, nk.

Sasa kaanza ufundi kwa kuchukua vijana na kupiga nao kazi.

Kama tu kubadirisha oil nk just go, ila kama gari lako liko sensitive na mafundi usipeleke.
Shukrani chief! Ni kweli nilikuwa nahitaji fundi wa kufanya check up pia! Na ambao hata ofisi zao nzuri maana za uswahilini nimeona miyeyusho sanaa
 
from what i see kwwnye page yake naona yey sio fundi ispokuwa kawekeza kwwnye auto. work shop so anaendelea kujifunza anatoa somo.if you mean kwamba ukipeleka gar yeye ndio afanye service ashike spana nadhan sio ila anaajir mafund wazur
.ukiwa mjanja kibiqshara si unamvua fund mzur mahali unampa pesa nzur mbona anatulia ukiongeza na idea zake za kibiashara kama vile kaweka wifi free full warembo warembo pale a.c cappuccino ingawa najua somehow itakuja kwenye bill yake but i dont see the problem na mafund wasaf sio ukipeleka gar service ilala mafund wana manguo machafu mpaka ukitoka hapo inabidi ukaioshe gar nzima
 
Kwa uzoefu wangu kufungua garage huku ukiwa na mafundi guru ni kazi sana. Maana garage bado mpya kazi hupati kabisa au zinakuja chache, siku inaisha jioni ofisi haijaingiza chochote inabidi uingie mfukoni umpe fundi chochote kitu mkono uende mdomoni. Vinginevyo fundi atakuvumilia siku chache baada ya hapo ataanza kukupa sababu za kutofika kazini, ukiona ivyo ujue kasharudi kwenye kijiwe chake cha zamani.
sio kweli. mwananyamala ku a mhindi fundi na wala hana mbwembe.akikutengenezea uhakika.na wala humkut mchafu kwanza picha inaanza anafeni inampepea.kama una gari yako unaipenda nenda.
 
sio kweli.
Kwamba nadanganya? Ili iweje? Napata nini kwa kusema maneno ya uongo hapa jamvini? Nimesema kwa "uzoefu wangu" means ni personal experience niliyopitia. Sasa nashangaa unakurupuka kunipinga kwamba sio kweli as if wakati nafungua garage tulikua wote bega kwa bega.
Pathetic.
 
Alikua na duka la accessories mwenge naona kafungua na garage safi sana hua anajituma naamini hata kama sii yeye basi atakua kaajiri mafundi wazuri sana , watu kama hao tuwaunge mkono na kuwashauri pale inapobidi, tusikubali watu waanguke tuwasupport, ndio maendeleo
Ni Tsh 0 kumuunga mkono kijana mwenzio anaejikwamua kwa kujipatia kipato halali kwa ajili ya maendeleo
 
Mkuu ulishalifanikisha hili?
Sijafanikisha; nilipokuja kuangalia eneo la kazi nililokuwa nimeahidiwa nikagundua kuwa lilikuwa siyo halali. Nikarudi kazini ila ninategema kuja tena mwezi wa tano mwakani. Kuna eneo jingine nimeahidiwa huko Goba lakini sina imani kuwa litakuwa zuri kibiashara. Nikienda kulikagua ndipo ntajua hatua za kufanya. Mpaka sasa mitambo yangu bado iko kwenye storage haijatsafirishwa kwani ninataka ikifika ianza kufanya kazi mara moja, siyo kusafisfairisha bila kuwa na uhakika huo.
 
Mwaka huu naleta huduma kama hiyo lakini kwa bei rafiki kaeni mkao wa kupata huduma bora kwa bei rafiki
Awekee na kalodge pemben mshaurin

Maana wakati nwingine tunakaa njian ukiona vinwana n mwendo wa mateso
Anhnue nyumba tuweke lodge
 
Sijafanikisha; nilipokuja kuangalia eneo la kazi nililokuwa nimeahidiwa nikagundua kuwa lilikuwa siyo halali. Nikarudi kazini ila ninategema kuja tena mwezi wa tano mwakani. Kuna eneo jingine nimeahidiwa huko Goba lakini sina imani kuwa litakuwa zuri kibiashara. Nikienda kulikagua ndipo ntajua hatua za kufanya. Mpaka sasa mitambo yangu bado iko kwenye storage haijatsafirishwa kwani ninataka ikifika ianza kufanya kazi mara moja, siyo kusafisfairisha bila kuwa na uhakika huo.
Ningekushauri, tafuta likizo hata two or three weeks. Njoo bongo. Ingia front. Lisome soko, identify customer segments unazotafuta. Angalia wako mitaa gani. Then tafuta eneo. Usitafute eneo for the sake.
Kujua unalenga aina gani ya watu ni muhimu sana. Najua kwa sababu upo nje, kuna natural advantages utakuwa nazo. Vifaa modern na vizuri, kuliko wengi hapa bongo. Ila muhimu ni nani anaweza kulipia hiyo service? Customer wa kimara temboni ni tofauti na customer wa mbezi beach au mikocheni. It is what it is. Jitahidi sana upande investments kwenye quality services.

Angalia sana usifungue biashara then ukabidhi ndugu then urudi Ulaya! Utagombana na ndugu zako. Najua utakuwa umejipanga vizuri. Ni angalizo tuu nakupa mkuu. Mfano unaweza kuinvest kwenye electronic payment. Avoid kabisa wafanyakazi wako kukutana na cash. Unless they have to. Being huko mambelezz..hili, among other things, naamini unaliweza.
 
Ningekushauri, tafuta likizo hata two or three weeks. Njoo bongo. Ingia front. Lisome soko, identify customer segments unazotafuta. Angalia wako mitaa gani. Then tafuta eneo. Usitafute eneo for the sake.
Kujua unalenga aina gani ya watu ni muhimu sana. Najua kwa sababu upo nje, kuna natural advantages utakuwa nazo. Vifaa modern na vizuri, kuliko wengi hapa bongo. Ila muhimu ni nani anaweza kulipia hiyo service? Customer wa kimara temboni ni tofauti na customer wa mbezi beach au mikocheni. It is what it is. Jitahidi sana upande investments kwenye quality services.

Angalia sana usifungue biashara then ukabidhi ndugu then urudi Ulaya! Utagombana na ndugu zako. Najua utakuwa umejipanga vizuri. Ni angalizo tuu nakupa mkuu. Mfano unaweza kuinvest kwenye electronic payment. Avoid kabisa wafanyakazi wako kukutana na cash. Unless they have too. Being huko mambelezz..hili, among other things, naamini unaliweza.
Asante sana kwa ushauri.

Ninataka kustaafu kazi nirudi nyumbani. Kwa hiyo ushauri wako uko fit sana. Ningekuwa naamani ndugu au watu wengine, ningekuwa nimeshatuma vifaa hivyo. Ndiyo maana kabla ya kutoa fedha za kununua eneo la biashara nililokuwa nimeahidiwa huko Kimara nilikwende mwenyewe kulikagua.
 
Back
Top Bottom