Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Dahh hii comment yako imenipa furaha siku nzimaAlikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tati na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Maisha yanaenda mbio sana . Hao jamaa wote sasa hawapo duniani !!. Na ni majuzi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tati na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Hao wengine wawili ni akina nani?Maisha yanaenda mbio sana . Hao jamaa wote sasa hawapo duniani !!. Na ni majuzi tu.
Tuikanyage ardhi hii kwa nidhamu sana [emoji56][emoji2969]
Aisee watu mnahatari..πAlikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tati na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Ukitafakari Sana na kama akili zako zimetimia utagundua Hakuna cha kuringia hapa duniani we sometimes Proud as ifMaisha ya mwanadamu ni kama maua, huchanua na kunyauka. Ee nafsi yangu umuhimidi bwana Mungu.
"...Mbere"ππππ mbavu zanguuAlikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe