Mahotera
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 729
- 1,847
Wewe ni yule Idris Sultan??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni yule Idris Sultan??
Acha tu.Maisha ya mwanadamu ni kama maua, huchanua na kunyauka. Ee nafsi yangu umuhimidi bwana Mungu.
iwe funzo kwa wengine. watendee watu haki.Mkuu Maxence Melo ninaombi kwa hizi post ziangaliwe kwa makini! Haiwezekani kila siku si chini ya nyuzi 10 zinafunguliwa kumkashifu Hayati Magufuli! Kaa JamiiForums ni sehemu ya mpango huu tujuzeni ama sivyo nasi tutaanza kufungua nyuzi za kuwakejeri nyinyi wenyewe alafu tuone kama mtapenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini asingezipunguza?Na hiyo picha ya kanzu unaizungumziaje?Kwa hili namtetea Magufuli. Hizo nguo ni za mtumba hasa picha ya kwanza. Nguo za mtumba hazina adabu. Ukijaribisha wakati wa kununua inakutosha ila ukifika home ukafua unashangaa inakubana au imekuwa kubwa.
Kwa hili kosa siyo la Magufuli
We mzee mkorofi sana.🤣Alikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Hapa anatoa salam
Nyanaume Kama nyanaume mamaeee nimecheka Sana.Alikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Unajua hiyo picha ni ya mwaka ganiAlikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dahAlikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
We jamaa mim naumwa eti 😀😀😀😀 kila mtu ananshangaa hapa.Alikuwa hashauriki, anaambiwa siku hizi watu wanavaa slim fit, yeye anasema pamba tunayo nyingi, tumerima miche mirihoni sarasini na tisa mia saba kumi na mbere, inayotoa tani merioni tatu na marobota raki saba ya majora ya vitambaa, hebu fundi mwaga mbwembwe
Namjua happy marehemu Richard Ndasa mbunge wa mda mrefu wa Sunve aliye kushoto kwa mwehuHizo Nguo ziwekwe MAKUMBUSH
Nguo zake za nini Sasa? Labda wafukue lile fuvu waweke makumbusho. Kwa muonekano wa lile fuvu( utosi na kidevu) watafiti watakuja na fundings za ajabu sanaHizo Nguo ziwekwe MAKUMBUSHO
Unajua hiyo picha ni ya mwaka gani
Miaka hiyo ndio ulikuwa fashionWacha kuuliza mwaka,huyo jamaa alikuwa tu mshambashamba Hiyo ni miaka ya mwisho mwa 1998-1999 au mwanzoni mwa 2000 lakini umewahi kuona Uvaaji wa Mwamba Nyerere hata huko miaka ya mwishoni mwa 1950 na hata akiwa ikuku kuanzia 1961? Mzee Nyerere alikuwa smart sana ,Sasa huyo Magu miaka ya tisini alikini anapiga mibwanga hiyooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2068271
View attachment 2068272
Muangalie Mwamba na nikitambo labda Magu ndio ako na miaka kama 3 hivi
Kataraiya na Ndasa.Hao wengine wawili ni akina nani?
Bukoba mjini na Sumve.Kataraiya na Ndasa.