Fundi nguo wa hayati mzalendo wetu hakua fair

Fundi nguo wa hayati mzalendo wetu hakua fair

D😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu zangu inatosha jamani,naomba mniombee.
 
Miaka hiyo ndio ulikuwa fashion

IMG_0875.jpg

Anashindwa na Albert wa miaka ya 1920
 
Wazazi walitununulia mashati yanayofika ktk magoti ili "tukue' nayo. Na hawakulazimika kununua kaptula ama chupi kwa vile mashati makubwa yalikuwa kama kanzu vile.
Yaani mtu kashonewa suit akiwa na miaka 14 ila inakuja kumtosha kabisa akiwa na miaka 30.
 
JPM was a public figure. Kama asingependa kuongelewa, basi ungemshauri asiingie katika siasa. Wenzie akina Idd Amin, Hitler, Mussolini bado wanazunguzwa na kufundishwa katika historia.
Mkuu Maxence Melo ninaombi kwa hizi post ziangaliwe kwa makini! Haiwezekani kila siku si chini ya nyuzi 10 zinafunguliwa kumkashifu Hayati Magufuli! Kaa JamiiForums ni sehemu ya mpango huu tujuzeni ama sivyo nasi tutaanza kufungua nyuzi za kuwakejeri nyinyi wenyewe alafu tuone kama mtapenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu mtuondolee habari za kikaragosi huyo. Tuko na mama sasa, mbona mnalazimisha akumbukwe huku alitutesa sana.
Ndani ya miaka 5 -6 hakuna kupanda cheo, hakuna mshahara mpya.
Mama ndani ya miezi 3 tu kitu kimenona. Huu ndio utanzania uliojaa utu na heshima.
Na July mshahara unaongezwa hapo tutakuwa tunadaiwa sisi tu na Watanzania wakisubiri huduma bora
Eti wehu wenzake walikuwa wakimpa sifa kuwa nidhamu katika utumishi wa umma imeongezeka.
Idiot
Unawaza mshahara tu, mifanyakazi mingi ya sirikali ni ..............
 
Back
Top Bottom