Fundi nguo wa hayati mzalendo wetu hakua fair

DπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€[emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu zangu inatosha jamani,naomba mniombee.
 
Wazazi walitununulia mashati yanayofika ktk magoti ili "tukue' nayo. Na hawakulazimika kununua kaptula ama chupi kwa vile mashati makubwa yalikuwa kama kanzu vile.
Yaani mtu kashonewa suit akiwa na miaka 14 ila inakuja kumtosha kabisa akiwa na miaka 30.
 
JPM was a public figure. Kama asingependa kuongelewa, basi ungemshauri asiingie katika siasa. Wenzie akina Idd Amin, Hitler, Mussolini bado wanazunguzwa na kufundishwa katika historia.
 
Unawaza mshahara tu, mifanyakazi mingi ya sirikali ni ..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…