Fundi Niyonzima sasa rasmi Simba SC, hongera mtani

Fundi Niyonzima sasa rasmi Simba SC, hongera mtani

Hiyo ni ndoto mkuu,Yanga bingwa tena msimu ujao,Yanga inaendelea na usajili wake km kawaida ila ww endelea kusikiliza propaganda za viongozi wako
Hawezi kuja kukuelewa, brain imesha kuwa reset into a read-only-mode.

Ushahidi muulize suala la FIFA uone kama analo la maana la kujibu
[emoji23]
 
Hawezi kuja kukuelewa, brain imesha kuwa reset into a read-only-mode.

Ushahidi muulize suala la FIFA uone kama analo la maana la kujibu
[emoji23]
Nyie harakati zenu za kumfunfa Simba bao 5 bado zipo?
 
Nyie harakati zenu za kumfunfa Simba bao 5 bado zipo?

Mbona tulikupiga chache chache tena zikazaa points za ubingwa ?

Siwezi kutafuta kumfunga simba bao 4 wakati mimi ndio wa kwanza kumtungua bao 5....

Fuatilia historia kama na hili hulitambui.
 
The issue was balanced. Can we compare Ajib vs Niyonzima? Who is great signing!! To me... Haruna its ok ( technically) though his scoring rate is poor.
 
Mbona tulikupiga chache chache tena zikazaa points za ubingwa ?

Siwezi kutafuta kumfunga simba bao 4 wakati mimi ndio wa kwanza kumtungua bao 5....

Fuatilia historia kama na hili hulitambui.
Na ni nani aliyetangulia kumtungua mwingine 6-0?
 
Na ni nani aliyetangulia kumtungua mwingine 6-0?


Nilitaka Uje Kwenye point hii hii.

Sasa hizi goli ndizo zilikupasa muwe mnajivunia nazo, na sio goli 5. Simba kawahi kupigwa 5 na Yanga, Yanga kawahi pigwa 5 na Simba.

Washauli wenzako hilo.
 
The issue was balanced. Can we compare Ajib vs Niyonzima? Who is great signing!! To me... Haruna its ok ( technically) though his scoring rate is poor.
But Kwenye aspects nyingi twaweza sema Ajibu ni chaguo zuri pia...
 
Bora aende zake! Ametusaidia kiasi cha kutosha ila kama simba wamempa pesa nzuri ni jambo jema! Yanga ilikuwepo, ipo na itakuwepo! Ngoja tuomboleze kwanza msiba wa Alli Yanga![/QUO

!Yanga msiwe Na wasiwasi, huyo Haruna kafuata pesa huko aendako, wala hatawasaidia kwa lolote.
 
Tuambatanishie Barua..

Maana mimi niko karibu na mlango wa jikoni. Kiingiacho & Kitokacho nakiona....
Jikoni wapi? Maana wengine walikuwa wanachukulia mshiko klabuni na wengine Kwalite plaza
 
Ukiachana na uwezo wa Haruna..

Bila shaka ana uwezo wenye kupendeza, ila ni bora kuwekeza 70 MILIONI kwa Ajibu kuliko kwa Niyonzima

1. There is still untapped potential kwa Ajibu

2. He's still young ukimlinganisha na Niyo.

3. He's a local ..so it paves a way to recruit foreign player in the club.

4. In terms of final result productivity in midfield area, they equals in terms of goal capability.

5. At least Ajibu can take Free Kicks

Kama Ajibu atahusika msimu ujao, bado silioni pengo la Niyo.
Naona umetoa maelezo meeengi pasi kujibu swali la msingi, Ajibu kapewa ngap na Yanga..? Na hivo unavosema "He's local ina maana sio wa East Africa...?
 
Hali ya yanga sio Nzuri, hadi mashabiki wamechoma jezi
 
Back
Top Bottom