funga maduka ingia barabarani na màbaango yenye kufikisha ujumbe

funga maduka ingia barabarani na màbaango yenye kufikisha ujumbe

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
watanzania mbafunga maduka mnabaki nyumbani kulia lia kwa mitandao.

funga duka zama barabarani pigaa kelele mixer fujo isio umiza na mabango juu kufikishaa ujumbe kwaa uzito.
 
watanzania mbafunga maduka mnabaki nyumbani kulia lia kwa mitandao.

funga duka zama barabarani pigaa kelele mixer fujo isio umiza na mabango juu kufikishaa ujumbe kwaa uzito.
Hatuja pata kero na maumivu ya kutosha kutuingiza barabarani.
 
watanzania mbafunga maduka mnabaki nyumbani kulia lia kwa mitandao.

funga duka zama barabarani pigaa kelele mixer fujo isio umiza na mabango juu kufikishaa ujumbe kwaa uzito.
Wewe utakuwa ni policcm bila shaka. Nahisi umeumia sana kwa kukosa kaizi ya kwenda kupiga watu hovyo barabarani na kupora mali zao kwa kisingizio cha kuzuia maandamano.
 
Back
Top Bottom