playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
But kuna watu wanasema jamaa kwisha, hajui Kuimba, anawezaje kuandaa shoo yenye kiingilio hiko? But kati ya hao wanaombeza waliwahi kumuomba ashiriki kwenye shoo yao akachomoa.
Ifike mahala huyu jamaa apewe heshima yake tu, more Than 10 yrs kwenye industry and still he is on top msanii gani intake ya Kina ALLY anaweza kupiga show ya gharama hiyo kwa sasa? Au hata hawa wapo waliomkuta ALLY kwenye game tayari? ALLY nakuvulia kofia ALLY you are #realKing...
Ifike mahala huyu jamaa apewe heshima yake tu, more Than 10 yrs kwenye industry and still he is on top msanii gani intake ya Kina ALLY anaweza kupiga show ya gharama hiyo kwa sasa? Au hata hawa wapo waliomkuta ALLY kwenye game tayari? ALLY nakuvulia kofia ALLY you are #realKing...