Funga mwaka na KING KIBA VIP 400,000/=(laki nne)

Gharama ipi unaongelea? hiyo Elfu 15 kwa kichwa au laki 4 meza ya watu 8 (50,000 kila mtu)!?
We kwa akili ya kawaida unahisi nazungumzia gharama ipi? Bando za ofa zinatabu tuzo point nn?
 
Ny
Nyanyuka kimbia we mtu anakudis appoint bado unamshabikia tu? Utakuwa umerogwa bas.. E bwana sisi inshort tunaenjoy shida tunataka afanye kama fulani haipo hiyo mzee hamia panapofaa usije kufa bure.
 
Hapo chacha!![emoji1] nimemwambia laki 4 kwa meza = 50,000 per person akakataa, anasema eti mm ndo nasema hivo ila poster inasema laki 4[emoji23][emoji23][emoji23]. Analeta ushabiki maandazi [emoji23][emoji23]
Ww unaleta hesabu zako ambazo hazijatajwa mahali popote imeandikwa vip kwa meza ya watu 8 ni 400000/= na si Lazima muende 8 mfano ukaenda peke yako na ukabook hiyo meza utalipia 50?..mkihitaj watu watatu je?..elewa Ulichoambiwa usijitie ujuzi mwiiiiiingi afu ukapuyanga
 
Meza ya watu nane manake wanachanga au kugawana laki NNE kwa meza nzima
Kaka ipo hiv unaeza enda mfano ww mke na jamaa wawili bt mkataka meza ya vip asa hapo sense ya 50per itakuja?
 
Jipe moyo utashinda.
 
Umeandika kwa masikitiko sana. Nakushaurinenda na hii kanuni yangu "Sio kila kilicho mbele yangu kinanihusu" Maisha utayaona simpo sana.
 
Sitaacha kusema Ukweli Kuwa Alikiba Umebakia Ushabiki tu yani time yake imepita wee bisha tu ila moyoni inakuchoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Injinia ngapi hukooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…