Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
 
Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.

Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Ha ha ha ha hayo ni maono ya hali ya juu.
 
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Amini Mungu pekeeyake gentleman, achana na ushirikina tafadhali,

kua huru kufanya uwezavyo kwa amani bila kubugudhi wengine, but kamwe usithubutu kukiuka wala kuvunja sheria za nchi, utashughulikiwa na vyombo husika ipasavyo hapo hapo within second.

Ni Neema na Baraka za Mungu,
waTanzania katika umoja wao wanaimani ni CCM kuliko makolo au utopolo wowote humu nchini.

Jiheshimu🐒
 
Asante mkuu
Nimeona umuhimu wa cctv
weka tu hadi chooni gentleman,
ili wadau tuone unavyoshusha mzigo wa maana wa kiume hadi unafuka moshi, baada ya kubugia dona la nguvu, mtindi na kisamvu jana 🐒
 
Haya mambo hugeuka, soon hao viongozi hawatoweza kurudi kulala Kwa nyumba zao.
 
Anzisheni uzi maalum wa wauzaji wa cctv tena ziwe clear hd au hata 4k zinazorekodi video na sauti kwa ubora wa 4k. Watekaji waonekane kwa ubora wa 4k hata 8k
 
Gentleman kwani wee hushushi mzigo wa maana kama hushushi zigo basi afya yako itakuwa mgogoro

Ova
kwahiyo mrangi unashusha mzigo ule wa maana unafuka moshi, kama mtu akiingia washroom akikutana na ule mvuke wenye ukungu wa mzigo wako mzito itabidi asubiri kwanza hali ya hewa itulie ili aingie right?

kuleni vyakula bora vizuri bana ndrugu zango acheni uvivu tafadhali 🐒
 
Polisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.

Kwanini wasifuate due procedure, wawe na sare na vitambulisho au wampe mtu wito wa kufika kituoni?

Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.

Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili


Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
 
Polisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.

Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.

Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili


Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
Wanajaribu kutuaminisha kuwa waliojaribu kumteka tarimo ni wahuni Eti🤔
 
Back
Top Bottom