Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Ni suala la muda tu. CCTV cameras zipo mbioni kuwekewa utaratibu maalum au kibali maalum. Kumiliki itakuwa kama kumiliki silaha ya moto.
Watu wamesahau CHADEMA walipotumia "Drone Camera" kwenye mikutano Yao, ghafla ikaja kanuni kuwa Drone camera haiwezi toka Mkoa mmoja kwenda mwingine na lazima drone camera zote zisajiliwe.
 
Ushauri mzuri sana....CCTV muhimu kweli si umeona sarakasi za "PORI-C" walivyosema kwamba walikuwa hawamfukuzi alphonce lusako 😀 😀 😀 bila CCTV tungewaamini.
 
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Ulichoeleza kina UMUHIMU mkubwa sana kwa maisha ya sasa.

Kuna ushuhuda wa kisa cha kweli kabisa kuhusu suala hili.
Kuna mtu mmoja ambaye alikwenda dukani kwa jamaa yangu wa miaka mingi sana ili kununua CCTV Camera baada ya kuhisi kwamba kuna mambo Fulani Fulani nyumbani kwake yamekuwa yakifanyika nyumbani kwake nyakati za usiku.
Baada ya kuweka CCTV Camera za Siri kwenye makazi yake ni kweli aliweza kugundua kila kitu kilichokuwa kikiendelea, hadi nyakati hizi bado anaendelea kukusanya Ushahidi wa kutosha na wa kina kabisa kuhusu Visa vya matukio alivyokuwa akivihisi kufanyika kwenye makazi yake nyakati za usiku wa manane. Baada ya kufanikiwa kunasa tukio la kwanza kwenye CCTV cameras mnamo mwishoni mwa mwaka 2021, alirudi tena dukani kwa jamaa yangu ili apatiwe Wataalamu wabobevu wa masuala haya ya Camera za kiusalama, ndio ambao wamekuwa msaada mkubwa sana kwake kwa kunasa matukio yote kabisa bila wahusika/washukiwa kushitukia Wala kugundua kwamba operesheni zao wanazofanya nyakati za usiku jamaa anazinasa zote kabisa.
Kwa kifupi ni kwamba, jamaa ana Mgogoro wa Ardhi dhidi ya Afisa mmoja wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), majina yake kwa kifupi ni ADM, huyo Afisa ana cheo kikubwa tu huko Idarani. Sasa kwa kuwa huyo Afisa wa TISS anaona kwamba Mgogoro uliopo umemkalia vibaya sana kupita kiasi, hivyo, amepanga kumuua huyo mgomvi wake (assassination plan) ili aweze kujinasua na huo Mgogoro uliopo. Kwa hiyo, ameamua kuwatumia baadhi ya Maafisa wa TISS waliopo chini yake ili waweze kumsaidia kufanikisha kazi hiyo. Maafisa hao wamekuwa wakienda nyumbani kwenye makazi ya huyo mgomvi wake nyakati za usiku ili kwenda kupulizia/kunyunyuzia gesi ya sumu kwenye makazi yake ili kumuua. Kwa mujibu wa videos nyingi za matukio zilizonaswa na hizo CCTV Camera, inaonyesha kwamba Maafisa hao wa TISS (Undercover) ambao wamekuwa wakifanya operesheni hiyo ya majaribio ya kumuua huyo mtu wamekuwa wakifika kwenye makazi ya huyo mtu kuanzia muda wa saa 8 usiku mpaka saa 10:30 usiku, hiyo ndiyo mida yao ambayo inaonyesha kuwa wamekuwa wakipendelea Sana kuitumia. Bila ya msaada mkubwa sana wa hizo CCTV camera, basi mission ya kumuua huyo jamaa ingekuwa tayari imekamilika. CCTV camera zimekuwa msaada mkubwa sana kwake katika kufanya counter-operations dhidi ya mipango ya mauaji dhidi yake, hata baadhi ya Wahusika wa Mission hiyo amefanikiwa kuwafahamu physically na kupata details zao zote kabisa kuhusu utambulisho wao. Kumjua Adui yako ni nusu ya kushinda vita!
 
Polisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.

Kwanini wasifuate due procedure, wawe na sare na vitambulisho au wampe mtu wito wa kufika kituoni?

Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.
Nililiongea hili jana humu na wale vibaka wa TRA wamewashiwa moto mpaka wametokomea huku gari lilikuvunjwa vioo.

Huo ni ujumbe tu kuwa ndio mwanzo tu.
Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili


Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
 
kwahiyo mrangi unashusha mzigo ule wa maana unafuka moshi, kama mtu akiingia washroom akikutana na ule mvuke wenye ukungu wa mzigo wako mzito itabidi asubiri kwanza hali ya hewa itulie ili aingie right?

kuleni vyakula bora vizuri bana ndrugu zango acheni uvivu tafadhali 🐒
Afya&fitness &physics ipo hapa gentleman ohohhh

Ova
 
Amini Mungu pekeeyake gentleman, achana na ushirikina tafadhali,

kua huru kufanya uwezavyo kwa amani bila kubugudhi wengine, but kamwe usithubutu kukiuka wala kuvunja sheria za nchi, utashughulikiwa na vyombo husika ipasavyo hapo hapo within second.

Ni Neema na Baraka za Mungu,
waTanzania katika umoja wao wanaimani ni CCM kuliko makolo au utopolo wowote humu nchini.

Jiheshimu🐒
Sasa wale wanaoshughulikia wengine, siku wakishughulikiwa ndo utajua hujui. Hii dunia haina mwamba. Mwamba ni Mungu pekee. Let no one deceive you.
 
Sasa wale wanaoshughulikia wengine, siku wakishughulikiwa ndo utajua hujui. Hii dunia haina mwamba. Mwamba ni Mungu pekee. Let no one deceive you.
Ishi na watu vizuri. Acha dhuluma, epuka, tamaa, ubabe na dharau mtaani..

ukimendea mke wa mtu, utapigwa tu, na mimi nasema upigwe tu maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
 
Back
Top Bottom