Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.

Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Zamani ccm walifanya uovu kwa Sirisiri

Sasa wanatenda hadharani bila kificho Wana kiburi Cha ishetani
 
Polisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.

Kwanini wasifuate due procedure, wawe na sare na vitambulisho au wampe mtu wito wa kufika kituoni?

Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.

Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili


Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachache
 
Nawaonea huruma generation ya watoto na wajukuu Wetu watakuta nchi ya umwagaji damu
 
Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.

Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Ushauri mzuri
 
Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.

Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Maccm yamegeuka kuwa manyang'au kabisa wao kumwaga damu imekuwa ibada kwao.
 
Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachache
Bahati mbaya kuna wajinga hapa watasema ni drama.

Nimepitia page ya X ya police wanasena eti hawakuwa na nia ya kumkamata Lusako bali mtu mwingine halafu wamefunga comment section.
 
Amini Mungu pekeeyake gentleman, achana na ushirikina tafadhali,

kua huru kufanya uwezavyo kwa amani bila kubugudhi wengine, but kamwe usithubutu kukiuka wala kuvunja sheria za nchi, utashughulikiwa na vyombo husika ipasavyo hapo hapo within second.

Ni Neema na Baraka za Mungu,
waTanzania katika umoja wao wanaimani ni CCM kuliko makolo au utopolo wowote humu nchini.

Jiheshimu🐒
Mashetani wote na punguani ndiyo wamejishikamanisha na chama ibilisi, Chama Cha Mashetani.

Kama una akili timamu mwenye uwezo wa kupambanua mema na mabaya, ushauri wa mleta mada ni muhimu sana.

Nchi inapita kaenye giza nene la shetani CCM ya nyakati hizi iliuojaa uovu dhidi ya ubinadamu. Kwa sasa, kwa watanzania wema na qenye akili, hakuna adui mbaya kuizidi CCM.
 
Mashetani wote na punguani ndiyo wamejishikamanisha na chama ibilisi, Chama Cha Mashetani.

Kama una akili timamu mwenye uwezo wa kupambanua mema na mabaya, ushauri wa mleta mada ni muhimu sana.

Nchi inapita kaenye giza nene la shetani CCM ya nyakati hizi iliuojaa uovu dhidi ya ubinadamu. Kwa sasa, kwa watanzania wema na qenye akili, hakuna adui mbaya kuizidi CCM.
mapepo kama wewe pekee na watetea mafirauni kama kibaraka na wewe ndiyo yapo gizani..

Na kama Taifa tupo imara kuwadhibiti vilivyo na kamwe hamuwezi kufurukuta na mabwenyenye yanayaowafadhili..

kumbaf sana,alaa 🐒
 
kiwanda cha misukule na kutoa watu kafara ni chadema ee gentleman, right?🐒
20241025_083803.jpg

Akipokea baraka.
 
Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.

Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?

Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.

Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.

Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.

Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.

Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.

Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Mwanzo tulikuwa tukiona Ujio wa cctv tukajua ni za Udaku.

Sasa naanza kuelewa kwanini.Ulaya kila kona ina CCTV camera
 
Back
Top Bottom