Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa Teknolojia na Mungu. By Ruge Mutahaba.Wanajaribu kutuaminisha kuwa waliojaribu kumteka tarimo ni wahuni Eti🤔
Zamani ccm walifanya uovu kwa SirisiriKama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachachePolisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.
Kwanini wasifuate due procedure, wawe na sare na vitambulisho au wampe mtu wito wa kufika kituoni?
Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.
Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili
Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
Ushauri mzuriKama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Maccm yamegeuka kuwa manyang'au kabisa wao kumwaga damu imekuwa ibada kwao.Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Huyo ni madamCcm huko ndiko kwenye kiwanda cha ushirikina gentleman
Ova
Huyo ni madamGentleman kwani wee hushushi mzigo wa maana kama hushushi zigo basi afya yako itakuwa mgogoro
Ova
Bahati mbaya kuna wajinga hapa watasema ni drama.Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachache
Mashetani wote na punguani ndiyo wamejishikamanisha na chama ibilisi, Chama Cha Mashetani.Amini Mungu pekeeyake gentleman, achana na ushirikina tafadhali,
kua huru kufanya uwezavyo kwa amani bila kubugudhi wengine, but kamwe usithubutu kukiuka wala kuvunja sheria za nchi, utashughulikiwa na vyombo husika ipasavyo hapo hapo within second.
Ni Neema na Baraka za Mungu,
waTanzania katika umoja wao wanaimani ni CCM kuliko makolo au utopolo wowote humu nchini.
Jiheshimu🐒
mapepo kama wewe pekee na watetea mafirauni kama kibaraka na wewe ndiyo yapo gizani..Mashetani wote na punguani ndiyo wamejishikamanisha na chama ibilisi, Chama Cha Mashetani.
Kama una akili timamu mwenye uwezo wa kupambanua mema na mabaya, ushauri wa mleta mada ni muhimu sana.
Nchi inapita kaenye giza nene la shetani CCM ya nyakati hizi iliuojaa uovu dhidi ya ubinadamu. Kwa sasa, kwa watanzania wema na qenye akili, hakuna adui mbaya kuizidi CCM.
kiwanda cha misukule na kutoa watu kafara ni chadema ee gentleman, right?🐒
kadiri ya mila, utamaduni na desturi za kabila la kwao, right?View attachment 3169812
Akipokea baraka.
Mwanzo tulikuwa tukiona Ujio wa cctv tukajua ni za Udaku.Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Jamaa utadhani Mwenyekiti wa CCM ni baba yako. Kwa hiyo hasiraHuna kazi ya kufanya we nyumbu? Kushindana na jiwe kuu pembeni waliloshindwa waashi nyau km wewe ni uzombie na kujitakia ufukara wa milele ktk ukoo wako. Fanya kazi we bwege ht uzushe mpk ujinyee CCM huwezi ht kuitikisa.
HahahaCCM inaweza kupiga Marufuku uingizaji CCTV Camera
Ni suala la muda tu. CCTV cameras zipo mbioni kuwekewa utaratibu maalum au kibali maalum. Kumiliki itakuwa kama kumiliki silaha ya moto.CCM inaweza kupiga Marufuku uingizaji CCTV Camera