Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ha ha ha ha hayo ni maono ya hali ya juu.Kama mnadhani CCM wanatania wanaposema kuwa wako tayari kubakia madarakani Kwa njia na namna yoyote ile, puuzieni huu wito wangu.
Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Amini Mungu pekeeyake gentleman, achana na ushirikina tafadhali,Ukipanda basi ulizia Lina CCTV camera na inafanya kazi?
Vituo vya kujazia mafuta tunaomba fungeni CCTV maana zitasaidia Sana mbele ya safari.
Kama nyumba yako iko barabarani funga CCTV maana unaweza kuokoa maisha ya watu.
Kwenye bar, mgahawa, hoteli, mtaa wenye maduka na shughuli nyingi, fungeni CCTV na mhakikishe zinafanyakazi muda wote.
Kama wewe ni mwanaharakati ama mwanasiasa funga CCTV kwenye gari lako.
Nyumba za ibada fungeni CCTV maana huko wengine ndiyo safari zao za kwenda kutenda maovu huanzia.
Na wale wenye uwezo wa kuweka chip kwenye miili yenu wekeni na msichukulie poa.
Watatumaliza hawaDaah! CCM watatumaliza.
Inadaiwa magenge ya utekaji yanaongozwa na Abdul kwa kushirikiana na Bashite.
weka tu hadi chooni gentleman,Asante mkuu
Nimeona umuhimu wa cctv
Gentleman kwani wee hushushi mzigo wa maana kama hushushi zigo basi afya yako itakuwa mgogoroweka tu hadi chooni gentleman,
ili wadau tuone unavyoshusha mzigo wa maana wa kiume hadi unafuka moshi, baada ya kubugia dona la nguvu, mtindi na kisamvu jana 🐒
kiwanda cha misukule na kutoa watu kafara ni chadema ee gentleman, right?🐒Ccm huko ndiko kwenye kiwanda cha ushirikina gentleman
Ova
kwahiyo mrangi unashusha mzigo ule wa maana unafuka moshi, kama mtu akiingia washroom akikutana na ule mvuke wenye ukungu wa mzigo wako mzito itabidi asubiri kwanza hali ya hewa itulie ili aingie right?Gentleman kwani wee hushushi mzigo wa maana kama hushushi zigo basi afya yako itakuwa mgogoro
Ova
Ndiyo tabia yenu kukatisha watu tamaa.Kenya CCTV camera ziko kila Mahali Lakini ndio wanaoongoza kwa Utekaji na kuuwa Watu Hovyo
Kabudi amesema Bible zigawiwe Bure mashuleniNdiyo tabia yenu kukatisha watu tamaa.
Wanajaribu kutuaminisha kuwa waliojaribu kumteka tarimo ni wahuni Eti🤔Polisi sasa wamegeuka kama vibaka wanamvizia mtu.
Niliwahi sema humu hii inatengeneza precedent moja ya wananchi kuanza kuchukua hatua mkononi.
Mliona jinsi Tarimo alivyojinusuru na kukimbia basi kuna siku polisi watashindwa nguvu na waliyeenda kumteka na hatokimbia bali atawajeruhi au kuwaua polisi kikatili
Tutakuja kukumbushana siku si nyingi hapa.
Nyumbu ana kazi Gani zaidi ya kula majani? JIHESHIMU.Huna kazi ya kufanya we nyumbu?