Fungeni CCTV Camera kwenye maeneo yenu ili kujilinda na kulinda wengine

Zamani ccm walifanya uovu kwa Sirisiri

Sasa wanatenda hadharani bila kificho Wana kiburi Cha ishetani
 
Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachache
 
Nawaonea huruma generation ya watoto na wajukuu Wetu watakuta nchi ya umwagaji damu
 
Ushauri mzuri
 
Maccm yamegeuka kuwa manyang'au kabisa wao kumwaga damu imekuwa ibada kwao.
 
Civil war inapaliliwa itakuja tu. Masikini tz ya Nyerere inaenda kuangamia kwa uroho wa wachache
Bahati mbaya kuna wajinga hapa watasema ni drama.

Nimepitia page ya X ya police wanasena eti hawakuwa na nia ya kumkamata Lusako bali mtu mwingine halafu wamefunga comment section.
 
Mashetani wote na punguani ndiyo wamejishikamanisha na chama ibilisi, Chama Cha Mashetani.

Kama una akili timamu mwenye uwezo wa kupambanua mema na mabaya, ushauri wa mleta mada ni muhimu sana.

Nchi inapita kaenye giza nene la shetani CCM ya nyakati hizi iliuojaa uovu dhidi ya ubinadamu. Kwa sasa, kwa watanzania wema na qenye akili, hakuna adui mbaya kuizidi CCM.
 
mapepo kama wewe pekee na watetea mafirauni kama kibaraka na wewe ndiyo yapo gizani..

Na kama Taifa tupo imara kuwadhibiti vilivyo na kamwe hamuwezi kufurukuta na mabwenyenye yanayaowafadhili..

kumbaf sana,alaa πŸ’
 
Mwanzo tulikuwa tukiona Ujio wa cctv tukajua ni za Udaku.

Sasa naanza kuelewa kwanini.Ulaya kila kona ina CCTV camera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…