Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣 🤣 🤣 👊Vikosi vya SMZ,KMKM Huwa unalipa wewe?
Swali; Kuna Mzanzibari aliwahi kuja Bara akasema anahitaji Muungano?
Wewe Kwa akili Yako hujiulizi Kwa nini Bara wanalazimisha Muungano? Jibu ni wanafaidika kuliko wanachotoa ,by the way hawatoi pesa zote zinatoka Zanzibar.
Kama mna jeuri , vunjeni Muungano tuone au umesikia Wazanzibar wanataka Muungano? 🤣🤣🤣🤣
Hata Rais wa Zenj mnawazuga yule Mwinyi ni Mtanganyika.
Badala ya kulia lia kama mtoto ni Bora Waendelee kuongeza hizo GBS Hadi mkome,si mlitaka Muungano ndio Raha na gharama zake hizo.