Fungu la elimu ya Juu Zanzibar

Fungu la elimu ya Juu Zanzibar

haya yote umeyataja, ni makusanyo ya mapato Tanganyika, kwasababu zanzibar wana ZRA yao. kama mitandao wanayo ya kwao zantel. swali letu lilikua ni, kwasababu zanzibar wana ukusanyaji kodi wa binafsi ukitofautisha ule wa bara, kwanini makusanyo ya bara yalipe deni ilikudingi asilimia alizokula zenji?

Punguza mihemko mkuu, ZRA ya Zanzibar inakusanya kwenye mambo yasioy ya Muungano tu,

Mtalii anaekwenda Zanzibar anapolipia visa hela inakwenda wapi?
Mabank na Mitandao ya simu ambayo yana operate Zanzibar kodi zake zote wanalipia wapi?
Tozo zinazolipwa kwa kukatwa kwenye miamala ya simu kwa ambao wanaishi Zanzibar hela yake huwa inakwenda wapi?
 
MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO.

1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio mkopo , Lakini Hii mikopo yetu huku HESLB kuna kifungu tena cha Wazanzibar, yaani hiyo fedha ni kwa ajili ya Wazanzibar tu, Yaani fedha ya Tanganyika inatumika HESLB ambayo imekusanywa na TRA huku Tanganyika inakwenda Zanzibar kuhudumia mikopo ya Elimu ya juu,

2. Kumbuka kwenye makusanya ya TRA YA Tanganyika ukienda kwenye website yao hakuna eneo la Zanzibar, TRA uwa wanatoa maeneo wanayokusanya kodi, Zanzibar haipo, kwa sasa Zanzibar ina TRA ambayo inakusanya huko Zanzibar na mapato yao wanatumia huko huko, Sasa kwa nini tunawapa hela ya Elimu ambayo huku ni Mkopo kwao sio Mkopo ? hata ukiachia mbali kwamba fedha ya Tanganyika ya Makusanyo inatumika kwenye Elimu huko kwa huku ni Mikopo na kwao sio Mikopo kwa nini? Cha pili kwa nini tunahudumie elimu ya Zanzibar na sio suala la Muungano

3. Cha Pili Wazari wa Fedha wa Zanzibar amesema kwenye Club house kwamba Zanzibar kwa sasa ina Bajeti ya 2.8 Trillion, lakini Tanganyika aka Muungano tunachangia hiyo bajeti ya Zanzibar kwa 9% , zamani sisi tulikuwa tunachangia 4.5% ya bajeti ya Zanzibar, Hii ni sheria inahitaka Tanganyika kuchangia 4.5% kwenye bajeti yoyote watakayo andaa zanzibar yaani watu 1.5millioni wanapewa fedha za upande mwingine bila sababu yoyote ila eti sababu ya Muungano ? Hivyo bajeti ya sasa tumelipa Billioni 250 kwa Zanzibar kama posho ya Muungano

4. Kuanzia 2022 hiyo 4.5% imebadilishwa na serikali ya Samia sasa watapewa 9% ya bajeti yao na Tanganyika, Yaani leo Zanzibar wakija na baketi ya Trilioni 11 sisi Tanganyika itabidi tuuze figu ili tuwapatie wao trillioni 1 wakatumie ,Kumbukeni sio mkopo hii ni fedha tunaipa Zanzibari kama kudumisha ndoa ya Muungano, Tanganyika inalipa fedha au inaonga Zanzibar fedha kwenye bajeti yao

5. Kwenye mikopo , tukipata mkopo Zanzibar inakuwa 4% ya mkopo na Mkopo unalipwa na Tanganyika wote kama ulivyo sio kwamba 4% inatoka Zanzibar, Lakini pia Zanzibar wanachukua mikopo kutoka nje mfano juu wa billion 400 kujenza hospital waliochukua Korea huu nao unalipwa na Tanganyika , Kwa sasa Kila ukiona Zanzibar imechukua mkopo jua hiyo ni posho ya Muungano italipwa na Tanganyika, kuna Lugha wanatumia na kusema sisi ni Guarantor , sasa watuambiwa Deni la Zanzibar waliotumia huko Zanzibar ni kiasi gani toka 1964 na toka wakati huo wamelipa kiasi gani cha madeni yao na wanadeni kiasi gani kama wanajua

6. Kumbe tumechezewa hivi sio ardhi yetu tu tumetoa kwa Wazanzibar hata mikopo tunalipa na tunahudumia ulinzi, tunahudumia pia elimu ya watu wa Zanzibar kama posho ya Muungano

7. Kumbukeni haya maneno ya kutolipa deni na kwamba inalipa Tanganyika ni maneno ya Waziri wa fedha wa Zanzibar

8. Na sasa Bi Kizimkazi ameongeza bajeti huko tunachangika 9% toka mwaka juzi, na hii imeongezeka kutoka 4.5% baada ya majadilio kati ya Mwinyi na Samia kwa ajili ya Government Budget Support, na anaye Support hiyo Budget ni Tanganyika

Sasa ukisema kila mikoa yenye watu idadi sawa na Zanzibar tungekuwa mbali, lakini pia kwa nini sasa CCM wanakataa serikali za Majimbo, wakati Zanzibar inafuta mkwanja kutoka Tanganyika, Ongezeko la 9% linatokana na maagizo ya Samia

Halafu tunaambiwa huyu mama sio mbaguzi, amebadilisha mpaka makubaliano kutoka 4.5% japo hata hii 4.5% ni ukora tu kwa nini Tanganyika itoe hela kwa Zanzibar ?
Hamna sisi vijana tunapaswa kusoma vizuri na kuijua nchi yetu kabla ya kuandika. Hakuna kitu kama hicho.
 
MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO.

1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio mkopo , Lakini Hii mikopo yetu huku HESLB kuna kifungu tena cha Wazanzibar, yaani hiyo fedha ni kwa ajili ya Wazanzibar tu, Yaani fedha ya Tanganyika inatumika HESLB ambayo imekusanywa na TRA huku Tanganyika inakwenda Zanzibar kuhudumia mikopo ya Elimu ya juu,

2. Kumbuka kwenye makusanya ya TRA YA Tanganyika ukienda kwenye website yao hakuna eneo la Zanzibar, TRA uwa wanatoa maeneo wanayokusanya kodi, Zanzibar haipo, kwa sasa Zanzibar ina TRA ambayo inakusanya huko Zanzibar na mapato yao wanatumia huko huko, Sasa kwa nini tunawapa hela ya Elimu ambayo huku ni Mkopo kwao sio Mkopo ? hata ukiachia mbali kwamba fedha ya Tanganyika ya Makusanyo inatumika kwenye Elimu huko kwa huku ni Mikopo na kwao sio Mikopo kwa nini? Cha pili kwa nini tunahudumie elimu ya Zanzibar na sio suala la Muungano

3. Cha Pili Wazari wa Fedha wa Zanzibar amesema kwenye Club house kwamba Zanzibar kwa sasa ina Bajeti ya 2.8 Trillion, lakini Tanganyika aka Muungano tunachangia hiyo bajeti ya Zanzibar kwa 9% , zamani sisi tulikuwa tunachangia 4.5% ya bajeti ya Zanzibar, Hii ni sheria inahitaka Tanganyika kuchangia 4.5% kwenye bajeti yoyote watakayo andaa zanzibar yaani watu 1.5millioni wanapewa fedha za upande mwingine bila sababu yoyote ila eti sababu ya Muungano ? Hivyo bajeti ya sasa tumelipa Billioni 250 kwa Zanzibar kama posho ya Muungano

4. Kuanzia 2022 hiyo 4.5% imebadilishwa na serikali ya Samia sasa watapewa 9% ya bajeti yao na Tanganyika, Yaani leo Zanzibar wakija na baketi ya Trilioni 11 sisi Tanganyika itabidi tuuze figu ili tuwapatie wao trillioni 1 wakatumie ,Kumbukeni sio mkopo hii ni fedha tunaipa Zanzibari kama kudumisha ndoa ya Muungano, Tanganyika inalipa fedha au inaonga Zanzibar fedha kwenye bajeti yao

5. Kwenye mikopo , tukipata mkopo Zanzibar inakuwa 4% ya mkopo na Mkopo unalipwa na Tanganyika wote kama ulivyo sio kwamba 4% inatoka Zanzibar, Lakini pia Zanzibar wanachukua mikopo kutoka nje mfano juu wa billion 400 kujenza hospital waliochukua Korea huu nao unalipwa na Tanganyika , Kwa sasa Kila ukiona Zanzibar imechukua mkopo jua hiyo ni posho ya Muungano italipwa na Tanganyika, kuna Lugha wanatumia na kusema sisi ni Guarantor , sasa watuambiwa Deni la Zanzibar waliotumia huko Zanzibar ni kiasi gani toka 1964 na toka wakati huo wamelipa kiasi gani cha madeni yao na wanadeni kiasi gani kama wanajua

6. Kumbe tumechezewa hivi sio ardhi yetu tu tumetoa kwa Wazanzibar hata mikopo tunalipa na tunahudumia ulinzi, tunahudumia pia elimu ya watu wa Zanzibar kama posho ya Muungano

7. Kumbukeni haya maneno ya kutolipa deni na kwamba inalipa Tanganyika ni maneno ya Waziri wa fedha wa Zanzibar

8. Na sasa Bi Kizimkazi ameongeza bajeti huko tunachangika 9% toka mwaka juzi, na hii imeongezeka kutoka 4.5% baada ya majadilio kati ya Mwinyi na Samia kwa ajili ya Government Budget Support, na anaye Support hiyo Budget ni Tanganyika

Sasa ukisema kila mikoa yenye watu idadi sawa na Zanzibar tungekuwa mbali, lakini pia kwa nini sasa CCM wanakataa serikali za Majimbo, wakati Zanzibar inafuta mkwanja kutoka Tanganyika, Ongezeko la 9% linatokana na maagizo ya Samia

Halafu tunaambiwa huyu mama sio mbaguzi, amebadilisha mpaka makubaliano kutoka 4.5% japo hata hii 4.5% ni ukora tu kwa nini Tanganyika itoe hela kwa Zanzibar ?
Mapati ya bahari Kuu, mapato ya visa zaidi ya watu ya watu million 1 wanaingia kwa mwaka yanaenda wapi, mapato ya anga ambazo ndege hulipia kwa kutumia anga ya ZNZ, na kumbuka zaidi 80 ya ndege za kimataifa hutumia ambayo kabla ya Muungano ilikuwa ni eneo la zanzibar, mapato ya meli za kigeni zinazopita katika bahati ya znz, mapato ya bank ambazo zinaoperate ZNZ Kodi zake zinaenda wapi? Mapato ya Kodi za mitandao ya simu na Kodi za miamala ambazo wateja wake wanaishi ZNZ yanaenda wapi? . Je hayo mapato hayo yanakusanywa na ZNZ? Tafuta pesa Wacha wivu wa kujinga na kuongea viyu ambavyo huna uelewa navyo.. Kenge we we!
 
Mapati ya bahari Kuu, mapato ya visa zaidi ya watu ya watu million 1 wanaingia kwa mwaka yanaenda wapi, mapato ya anga ambazo ndege hulipia kwa kutumia anga ya ZNZ, na kumbuka zaidi 80 ya ndege za kimataifa hutumia ambayo kabla ya Muungano ilikuwa ni eneo la zanzibar, mapato ya meli za kigeni zinazopita katika bahati ya znz, mapato ya bank ambazo zinaoperate ZNZ Kodi zake zinaenda wapi? Mapato ya Kodi za mitandao ya simu na Kodi za miamala ambazo wateja wake wanaishi ZNZ yanaenda wapi? . Je hayo mapato hayo yanakusanywa na ZNZ? Tafuta pesa Wacha wivu wa kujinga na kuongea viyu ambavyo huna uelewa navyo.. Kenge we we!
1. mapato ya visa na mapato ya anga ndio yatumike kulipia mabilioni hayo? tunakusanya bei gani kwa ajili ya hayo?

2. unasema kabla ya muungano eneo la anga lilikuwa la zanzibar, usichojua ni kwamba Tanganyika ilipata uhuru wakati ninyi kizimkazi mnacharazwa fimbona sultani na kumwoshea choo chake kinachonuka. kwahiyo Tanganyika ilishakuwa nchi, ina terrirorial waters zake, halafu idepend kwa zanzibar?
 
MDAU MMOJA KAANDIKA TWITTER, WE NEED TO KNOW WHETHER ITS TRUE OR FALSE. LISEMWALO LIPO.

1. Wazanzibar kwenye masuala ya elimu, kule kwao wana fungu la Elimu ya Juu Kwa watu wa Zanzibar na sio mkopo , Lakini Hii mikopo yetu huku HESLB kuna kifungu tena cha Wazanzibar, yaani hiyo fedha ni kwa ajili ya Wazanzibar tu, Yaani fedha ya Tanganyika inatumika HESLB ambayo imekusanywa na TRA huku Tanganyika inakwenda Zanzibar kuhudumia mikopo ya Elimu ya juu,

2. Kumbuka kwenye makusanya ya TRA YA Tanganyika ukienda kwenye website yao hakuna eneo la Zanzibar, TRA uwa wanatoa maeneo wanayokusanya kodi, Zanzibar haipo, kwa sasa Zanzibar ina TRA ambayo inakusanya huko Zanzibar na mapato yao wanatumia huko huko, Sasa kwa nini tunawapa hela ya Elimu ambayo huku ni Mkopo kwao sio Mkopo ? hata ukiachia mbali kwamba fedha ya Tanganyika ya Makusanyo inatumika kwenye Elimu huko kwa huku ni Mikopo na kwao sio Mikopo kwa nini? Cha pili kwa nini tunahudumie elimu ya Zanzibar na sio suala la Muungano

3. Cha Pili Wazari wa Fedha wa Zanzibar amesema kwenye Club house kwamba Zanzibar kwa sasa ina Bajeti ya 2.8 Trillion, lakini Tanganyika aka Muungano tunachangia hiyo bajeti ya Zanzibar kwa 9% , zamani sisi tulikuwa tunachangia 4.5% ya bajeti ya Zanzibar, Hii ni sheria inahitaka Tanganyika kuchangia 4.5% kwenye bajeti yoyote watakayo andaa zanzibar yaani watu 1.5millioni wanapewa fedha za upande mwingine bila sababu yoyote ila eti sababu ya Muungano ? Hivyo bajeti ya sasa tumelipa Billioni 250 kwa Zanzibar kama posho ya Muungano

4. Kuanzia 2022 hiyo 4.5% imebadilishwa na serikali ya Samia sasa watapewa 9% ya bajeti yao na Tanganyika, Yaani leo Zanzibar wakija na baketi ya Trilioni 11 sisi Tanganyika itabidi tuuze figu ili tuwapatie wao trillioni 1 wakatumie ,Kumbukeni sio mkopo hii ni fedha tunaipa Zanzibari kama kudumisha ndoa ya Muungano, Tanganyika inalipa fedha au inaonga Zanzibar fedha kwenye bajeti yao

5. Kwenye mikopo , tukipata mkopo Zanzibar inakuwa 4% ya mkopo na Mkopo unalipwa na Tanganyika wote kama ulivyo sio kwamba 4% inatoka Zanzibar, Lakini pia Zanzibar wanachukua mikopo kutoka nje mfano juu wa billion 400 kujenza hospital waliochukua Korea huu nao unalipwa na Tanganyika , Kwa sasa Kila ukiona Zanzibar imechukua mkopo jua hiyo ni posho ya Muungano italipwa na Tanganyika, kuna Lugha wanatumia na kusema sisi ni Guarantor , sasa watuambiwa Deni la Zanzibar waliotumia huko Zanzibar ni kiasi gani toka 1964 na toka wakati huo wamelipa kiasi gani cha madeni yao na wanadeni kiasi gani kama wanajua

6. Kumbe tumechezewa hivi sio ardhi yetu tu tumetoa kwa Wazanzibar hata mikopo tunalipa na tunahudumia ulinzi, tunahudumia pia elimu ya watu wa Zanzibar kama posho ya Muungano

7. Kumbukeni haya maneno ya kutolipa deni na kwamba inalipa Tanganyika ni maneno ya Waziri wa fedha wa Zanzibar

8. Na sasa Bi Kizimkazi ameongeza bajeti huko tunachangika 9% toka mwaka juzi, na hii imeongezeka kutoka 4.5% baada ya majadilio kati ya Mwinyi na Samia kwa ajili ya Government Budget Support, na anaye Support hiyo Budget ni Tanganyika

Sasa ukisema kila mikoa yenye watu idadi sawa na Zanzibar tungekuwa mbali, lakini pia kwa nini sasa CCM wanakataa serikali za Majimbo, wakati Zanzibar inafuta mkwanja kutoka Tanganyika, Ongezeko la 9% linatokana na maagizo ya Samia

Halafu tunaambiwa huyu mama sio mbaguzi, amebadilisha mpaka makubaliano kutoka 4.5% japo hata hii 4.5% ni ukora tu kwa nini Tanganyika itoe hela kwa Zanzibar ?
Wanaostahili kulaumiwa ni viongizi kutoka Tanganyika katika barza la mawaziri ambao hawapingi unyonyaji huu

Niliwahi kusema humu siku ikija serikali ya Tanganyika hawa wote ambao ni viongozi wa sasa hawatakiwi kushika wadhifa wowote katika Tanganyika kwa kuisaliti Tanganyika.
 
1. mapato ya visa na mapato ya anga ndio yatumike kulipia mabilioni hayo? tunakusanya bei gani kwa ajili ya hayo?

2. unasema kabla ya muungano eneo la anga lilikuwa la zanzibar, usichojua ni kwamba Tanganyika ilipata uhuru wakati ninyi kizimkazi mnacharazwa fimbona sultani na kumwoshea choo chake kinachonuka. kwahiyo Tanganyika ilishakuwa nchi, ina terrirorial waters zake, halafu idepend kwa zanzibar?
Kumbe wewe mpuuzi. Huna unalolijua.huu si Muungano wa nchi mbili Kila nchi Ina anga yake kabla ya kuungana. Na ikaifanya anga ya TZ, Kuna ndege zinalipa Kodi kupita juu ya anga ya znz.
.Najua wewe ni kilaza Fanya simple math. Wanaingia watalii 1 million znz na Kila mtu minimum analipa 50$ kwa mwaka pesa ya visa 50milion USD bayo ni sawa na 125bilion Tsh kwa mwaka. Na hizo Pesa ambazo wanapewa wanafunzi ni mkopo na wanazirejesha. Sasa wewe piga math sehemu nyengine. Tozo zasimu pamoja na Kodi, tozo za bank pamoja na Kodi za miamala ya ki benk. Tozo za Meli. Kwani meli karibiria zote zinazongia ikia bandari za Tanganyika zinatumia Bahari za ZNZ(exclusive economic zone)
 
Back
Top Bottom