FUNGUA FIKRA .... Dunia inakuacha ( part two/extended)

FUNGUA FIKRA .... Dunia inakuacha ( part two/extended)

Mkuu nimekupata vizuri kabisaa....
Mkuu naomba unipe maana halisi ya neno elimu?
Ukiongelea elimu unazungumzia nini?
Huwa napata changamoto sana kuhusa neno elimu..
Elimu ni neno ambalo huwa linatumika na kueleweka tofautitofauti kulingana na muktadha wa mazungumzo. Maana ya elimu ninayo ongelea mimi au leo inaweza kuwa tofauti na nitakayo ongea mimi au wewe keso. Ni vema ukajiamini kwa maana hiyo uijuayo kwani hakuna aliye na maana zaidi ya hiyo kwa muktadha huo. Katika jamii ukiongelea Elimu wengi wataelewa kwa maana ya kiwango cha mafunzo uliyo yapata na kupatiwa cheti kama uthibitisho wa kuhitimu hatua husika. Inaweza kuwa mafunzo ya taaluma(ujuzi), hii huhitaji uwe umefika ngazi ya chuo.Vilevile elimu kama mafunzo ya kuongeza au kupanua kiwango cha uelewa ambapo yatakufanya akili yako kuwa tayari kupokea ujuzi wowote au maalum mfano, ukihitimu elimu ya sekondari. Maana ya elimu inategea muktadha.
 
Elimu ni neno ambalo huwa linatumika na kueleweka tofautitofauti kulingana na muktadha wa mazungumzo. Maana ya elimu ninayo ongelea mimi au leo inaweza kuwa tofauti na nitakayo ongea mimi au wewe keso. Ni vema ukajiamini kwa maana hiyo uijuayo kwani hakuna aliye na maana zaidi ya hiyo kwa muktadha huo. Katika jamii ukiongelea Elimu wengi wataelewa kwa maana ya kiwango cha mafunzo uliyo yapata na kupatiwa cheti kama uthibitisho wa kuhitimu hatua husika. Inaweza kuwa mafunzo ya taaluma(ujuzi), hii huhitaji uwe umefika ngazi ya chuo.Vilevile elimu kama mafunzo ya kuongeza au kupanua kiwango cha uelewa ambapo yatakufanya akili yako kuwa tayari kupokea ujuzi wowote au maalum mfano, ukihitimu elimu ya sekondari. Maana ya elimu inategea muktadha.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
wewe hayo yote unayotafsiri na kujazia mifano yako unayafanya kwa vitendo? au unaandika tu..... tatizo sio kwamba watu hawayajui hayo isipokua ni uthubutu.... wewe kama muandishi ulitakiwa utueleze by physical examples na changamoto unazokutana nazo......... mkuu sio tu rich dad and poor dad pia kuna retire young and retire rich, think and grow rich, financial intelligence na vitabu vingi.... akina napoleone hills, bob pratter na kuyosaki ni wajasiriamali na pia wanaandika wanauza na kupata mamilioni ya dola.... haya wewe unapata nini hapa? sifa tu au you make some money? thubutu kwanza tuonyeshe umefikia wapi in practical then utaonekana wa maana..... kwa mfano haya unayoyaandika angeandika patrick ngowi, Diamond platnum au bakhresa au Moa yangekua na uzito zaidi kwakua wanayofanya yanaonekana
Sikiliza na ufanyie kazi anachosema kitakusaidia maadam ni chakula positive acha kumkatisha tamaa pole sana umefungwa na ajira.
 
Back
Top Bottom