Jamani pole sana boss wangu
Sorry we ni jinsia gani? Mwanamke anajifunza kupenda mwanaume haipo hiyo.... Pole sana ngekua mie nisingekubali aisee tena na hivi ni shinikizo la watu hapana kuishi na mtu usiempenda ni kazi
Sorry we ni jinsia gani? Mwanamke anajifunza kupenda mwanaume haipo hiyo.... Pole sana ngekua mie nisingekubali aisee tena na hivi ni shinikizo la watu hapana kuishi na mtu usiempenda ni kazi
Daah kumbe ulikiwa unaanza form one!!, ni ngumu hata kuimagine ilivyokuwa. Ila ashukuriwe Mungu kwa yote, kwa sababu Najua tukiongea sana tutaishia kumlaumu na kumkufuru Mungu. Apumzike kwa amani mama yetu mpendwaHasante mpenzi, inauma asikuambie mtu, ukizingatia ndio kwanzaaa naanza form1 alafu anaondoka, daaah! I miss her alot.
Daah kumbe ulikiwa unaanza form one!!, ni ngumu hata kuimagine ilivyokuwa. Ila ashukuriwe Mungu kwa yote, kwa sababu Najua tukiongea sana tutaishia kumlaumu na kumkufuru Mungu. Apumzike kwa amani mama yetu mpendwa
Mwanamke.... Familia zinatofautiana, ndio mana nikasema yasikie kwa mwenzio
Aisee pole sana
Mamii hata kwa mwanamke it depends, wengine inashindikana kabisaaa kujifunza hata sylabus ibadilishwe kitu hakipandi.
Kuna bidada mmoja naona alikua na hamu sana na ndoa anasema hampendi huyo mmewe ila atampenda mbele ya safari ukimsikia anavomsema teh et limwanaume libaya, jeusi ha ha ha hapo walikua wachumba
pole sana mkuu,duniani kuna maajabu sana unanikumbusha mwaka 2009 nilikuwa kituo cha daladala makongo naenda magomeni tution,Hiace ilikuwa inatokea kawe basi taili la mbele upande wa kushoto ukiwa lilipanda juu ya mguu wangu na nilikuwa nimevaa sendo cha ajabu mguu haukuvimba hata kidogo ingawa yule dereva ilibidanichukue na kunipeleka kituo cha afya kariakoo.
nilimshukuru sana
Sitasahau sauti ya Jaji Lubuva
Alafu we jamaa wewe akili yako haina tofauti na kondoo.
Na Hata Nyota Yangu Ni Kondoo a.k.a Aries The Ram Rider!
Sitosahau kamwe bao la mkono lililofungwa na ccm mwaka huu..
Sintosahau ulivyonisababisha nikafunga safari kuja Dar, nikalipia hotel halafu eti ukaniambia umeolewa na mme wako yuko nyumbani, nauli ya taxi ukala.
Nikarudi Mwanza bila kukuona.