Funguka kitugani hutakuja kukisahau katika maisha yako

mi kwa kweli sitosahau siku nlipoingia internet kucheki matokeo yangu na kukuta nimescore 0, oohh siwez sahau urefu wa siku za kipindi kile. bt kumbe kufeli shule sio kufeli life.
 
Mkuu mnaendeleaje so far?.
Mkuu kumbe tuko wengi nam nlifunga ndoa na mtu nisiempenda yy alifurah had kuzimia ndugu zangu walifurajlh sana she was wife material but moyo ilikuwa siku ngumu sana niliwaza mengi but senx god tumejikokoja huu mwaka wa 3 tuna mtoto 1 na mama kijacho walioana kwa kupendana wengne ndoa zilivunjika hazikufka hata miezi 6
 
😀😀😀😀😀😀 alifurahi hadi kuzimia😕
 

Hahaha hiyo kitu isikie kwa mwenzio,
Me nilipanga mpk kutoroka cku 1 kabla ya wedding,
Ulinzi ulikua mkali maana wazazi na ndugu wote walimtaka.

Kama ulivyosema walio oana kwa mapenzi wameshaachana,
Sie ndio kwanza yanachanua daily.
 
Hahaha hiyo kitu isikie kwa mwenzio,
Me nilipanga mpk kutoroka cku 1 kabla ya wedding,
Ulinzi ulikua mkali maana wazazi na ndugu wote walimtaka.

Kama ulivyosema walioana kwa mapenzi wameshaachana,
Sie ndio kwanza yanachanua daily.
Mkuu acha mtu mwenyewe nlipanga kumuacha soon after mariege cha ajabu kila cku anashinda hom na mijizawadi nikienda hom na sababu zangu naonekana kichaa moyo uache nataman kupmenda nashindwa naishia kujichekelesha tu
 
Tunaendelea vzr alhamdullillah,
Nilikuja kumpenda ingawa alifanya kazi sana mpaka kufika hapa tulipo,
Hakuwahi kukasirika licha ya vituko kibao nilivyomfanyia.
Mwaka wa 4 sasa.
Ww jamaa kama mm nliwah kumletea mchepuko alijifanya hauoni kesho yake kasema uusalimie mcheluko wetu
 
Siku nilipojilipua na kumpeleka demu wang mpya bwenini tena shule ya dini alikua bikra hvo nikachafua shuka langu ilibidi nilibadilishe na shuka la mdau sababu mashuka yalikua na rang inayofanana na kidooooogoooooo tukamatwe na mlinzi maana alitumulika kabisa na tochi na nkajua katuona kupitia dirisha na hapo ndo nilikua nabimbilika lakn cha ajabu kabisa waalaaa hakutuona. Mchezo uliisha kwa bao mbili za taabu na majonzi ma madamu teleee kesho yake dyudyu lilikua lmevimbaaa nakumbuka skuoga bafu la public wiki nzima na kukazuka skendo ya uchawi sababu ya madamu yale mi nkajikaushaaaaa kama sijui chochoteee
 
Tunaendelea vzr alhamdullillah,
Nilikuja kumpenda ingawa alifanya kazi sana mpaka kufika hapa tulipo,
Hakuwahi kukasirika licha ya vituko kibao nilivyomfanyia.
Mwaka wa 4 sasa.
mbarikiwe,na mimi napitia njia hiyo....
 
Siku nilpojaliwa kupata mtt , furaha zaidi nilipata wa kiume kama ambavyo nlikuwa natamani
 
nilipo mtukana sana dingi waliponishika wakati napewa jando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…