Funguka kitugani hutakuja kukisahau katika maisha yako

Funguka kitugani hutakuja kukisahau katika maisha yako

Hasira za kuolewa na usiempenda usiniletee mimi... we unapanuaje huku moyo umekunjamana blalifuu

Hahahaha umepanick,
Who told u am stressed?? Am happy with my husband and our twins, ungeelewa kwnz thread inasemaje, tulikumbushiana mambo ya past, nw we ar in present.
 
Hahahaha umepanick,
Who told u am stressed?? Am happy with my husband and our twins, ungeelewa kwnz thread inasemaje, tulikumbushiana mambo ya past, nw we ar in present.

Hivyo hivyo jamaa linasifa halipendwi likaachia mapacha
 
jamani mimeipenda testimony yako. Naongeza ya kwangu hapahapa,

Sitasahau tarehe 6/6/2010 nilipata ajali ya ajabu mitaa ya sanawari. gari dogo aina ya Corrolla nilinifuata pembeni nilikokuwa natembea zangu polepole kwa miguu kuelekea kanisani, nilianguka chini na gari likaja juu yangu. Cha kushangaza niliokotwa chini ya uvungu wa gari nikiwa salama na mikwaruzo midogo midogo tu.

SITOKAA NIISAHAU HII AJALI, and I always give praise to my Lord Jesus Christ.
Hakika Mungu ni mwema
 
Sinto sahau huyu mdada alivyo kipaka humu jf aiseeee....[emoji25]
 
Back
Top Bottom