Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Sorry my dear, ilikuwaje kuwaje hadi mkaoana? Mlilazimishwa na wazazi au Kulikuwa na issue gani?Hahaha hiyo kitu isikie kwa mwenzio,
Me nilipanga mpk kutoroka cku 1 kabla ya wedding,
Ulinzi ulikua mkali maana wazazi na ndugu wote walimtaka.
Kama ulivyosema walio oana kwa mapenzi wameshaachana,
Sie ndio kwanza yanachanua daily.
Tuambie KITUNlisingiziwa kitu mwaka 2000 nkiwa std 5 nilishasamehe ila nashindwa kusahau, mwaka huu tena nmesingiziwa kitu kinaniuma sana sana nashindwa kusahau sijui kama nitasahau
Wataka kusema huo mchepuko (mdogo wa mkeo) alikuwa hajui dadaake kaolewa na nani na vilevile ww ulikuwa humjui mdogo wa mkeo!!Pale mchepuko aliponiambia nikamsalimie mama yake amemtembelea kwake nilienda mbiombio na zawadi kabisa kufika karibia nizimie kumbe alikuwa ni mama wa mke wangu na huo mchepuko ni mdogo wa mke wangu ambaye tulipanga na wife tukamtembelee ili nimfahamu.. mchepuko ni sheeda sasa hapa naona aibu hata kwenda ukweni.
Sorry my dear, ilikuwaje kuwaje hadi mkaoana? Mlilazimishwa na wazazi au Kulikuwa na issue gani?
But Mungu ni mwema, now mnalea tu twins kwa furaha zoteWazazi walikua wameshapanga wenyewe khs ndoa bila sisi kujua,
Posa ikaletwa ndio namuona mchumba, sikua tayari kufunga ndoa na wala hatukua tunajuana na huyo mtu, ila kwa kua wazazi wameshaamua,
No way out, watu wakala mpunga kama kawa.
Muda unaenda. Na siye tutafute twins wetuBut Mungu ni mwema, now mnalea tu twins kwa furaha zote
Hahaha tusubiri na sisi wazazi watuozesheMuda unaenda. Na siye tutafute twins wetu
Hakuna tatizo, michakato miwili inaweza kwenda sambambaHahaha tusubiri na sisi wazazi watuozeshe
But Mungu ni mwema, now mnalea tu twins kwa furaha zote
Sito sahau pale nilipotokea kumpenda dada mmoja siku tu alionipa promise ya kukutanaye kimajojo ni kampa mimba hadi sasa naitwa baba sito sahau kamwe katika maisha yangu
Mkuu huo ni ushuda wake wewe toa wakoSio vzur ndug au unaushahid wwte katk hlo
AhahahahaaaNyooo mja laana weyeee
Amen, mwenyezi Mungu awakuzieAshukuriwe siku zote my dear,
Tupo na mashosti wanatuongezea furaha.
Mmmmh....wanawake wa Dar kwa kufukunyua....[emoji1]Vipi bado upo nae?
Nini jamaniMmmmh....wanawake wa Dar kwa kufukunyua....[emoji1]