Funguka mdau!! Usipite

Funguka mdau!! Usipite

Unamkumbukia nani,kwa nini,Ilikuweje..




Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu
2b5ac2f0e5cf23019634e1db5f6fe678.jpg
[emoji23] mkuu umenikumbusha mbali san ni baada ya kudokoa samaki staff[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Unamkumbukia nani,ni kwa nini,na ilikuweje..





Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu
2b5ac2f0e5cf23019634e1db5f6fe678.jpg
D. Hunter ihungo secondary. you boy!!!!!!
 
"Usipoelewa leo, utaelewa siku ya necta"

Bahati mbaya hadi leo sikuwahi muelewa yule msukuma[emoji29]
 
Ile kauli wanakuambia acheni mapenzi sasa hivi we soma tu utayakuta mbele tena watajileta wenyew
Iliniuma sana kumbe maticha ndo wanatupoza ili wawale wao ...te h teh teh
 
Ile kauli wanakuambia acheni mapenzi sasa hivi we soma tu utayakuta mbele tena watajileta wenyew
Iliniuma sana kumbe maticha ndo wanatupoza ili wawale wao ...te h teh teh
 
Ile kauli wanakuambia acheni mapenzi sasa hivi we soma tu utayakuta mbele tena watajileta wenyew
Iliniuma sana kumbe maticha ndo wanatupoza ili wawale wao ...te h teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Daaah umenikumbusha madam flani hiv alikua na maringo pia mkali saana sasa akiingia darasani akakuta kuna harufu ya ushuzi hafundishi haaah bas kama watu hatupendi kusoma siku hiyo n full kujamba tu ...mwenyewe utamskia Aaah kunanuka hum
 
Unamkumbukia nani,ni kwa nini,na ilikuweje..





Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu
2b5ac2f0e5cf23019634e1db5f6fe678.jpg
Iyo mitoto ina misambwanda
 
Daaah umenikumbusha madam flani hiv alikua na maringo pia mkali saana sasa akiingia darasani akakuta kuna harufu ya ushuzi hafundishi haaah bas kama watu hatupendi kusoma siku hiyo n full kujamba tu ...mwenyewe utamskia Aaah kunanuka hum
tena ukute wenye nyodo sasa...utasikia humu kuna mibeberu
 
Back
Top Bottom