Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
waambie waambie kamanda wangu mana ni wagumu kuelewa na wepesi kusahau!Mkuu ukishakuwa maarufu dsm wamkoani watakujua tu hata kwa kuambiwa na wajanja wa dsm kwamba kuna mtu fulani huku ni soo
Na mtu akiwa maarufu hata kama amebebwa na radio nyingine aka maarufu media zingine nazo zitafuata mkumbo kushibisha kiu ya wapenZi kwa kupiga sana nyimbo zake