FUNGUKA: Msanii gani wa Bongo ana kipaji cha rangi lakini yupo juu kwa msaada wa media?

waambie waambie kamanda wangu mana ni wagumu kuelewa na wepesi kusahau!
 
mimi mwaka 2004
niko IRINGA NILIMJUA BINT KOMANDO BILA WAFU FM! Hao wafu wameingia iringa mwaka 2011
 
Achen Siasa Za Clouds Fm na JD , et radio zingine zinafuata mkumbo. et ukuwa tu staa dar bas ndo namikaoani unakubalika SASA mfano mdogo tu MCHUKUE VANENSA MDEE anayefanya vizuri hapa dar mpeleke HUKO MAHENGE ULANGA uone kama atajaza ukumbi ila mCHUKU SAMIRI wa kinyulinyuli ambaye hapa dar ni wa kawaida sana mpeleke kule uone anavyojaza UKUMBI , et clouds ilimpepa JD wakat kipind kile wasanii kwanza walikua wachache hata ukiimba upuuzi lazima uwe juu NYIMBO kama wanawake wazuri wazuri, athumani akishalewa lewa, watu kama bush part, t-shirt na jinsi, Radio Free,one, Tanzania, ITV, STAR TV , chanel ten , chanel five hizi ndo zilitusaidia sisi watu tuliokua mikoani kuwajua na kuwaona wasanii miaka ya 2000 mpaka 2005 hii clouds ilikuwa changa sana labda ilikuwa inajulikana dar tu lakini sio mikoan
 


i think alifanyia pale ili auze drinks na food za nyumbani lounge maana ni faida mara mbili
 
Kalapina, Snura, Shilole, Jux, Mr Nice, Dudu baya, Aunt Ezekiel, Bonta, King crazy G.K, etc ninao wengi ila ngoja nihudumie wateja nitaendelea baadae......
 

kama ni swali umekosa loooooote
maelezo meengi,maelezo yenyewe uongo mtupu
 
mimi mwaka 2004
niko IRINGA NILIMJUA BINT KOMANDO BILA WAFU FM! Hao wafu wameingia iringa mwaka 2011

mi mwenyewe nilikuwa huko Katavi ndani ndani hata kabla haujawa mkoa
lakini nilimfaham bint machozi ingawa siku hizi ameacha kulia..........
 
Last edited by a moderator:

Woooote watapiga kelele back n forth lakini wewe umeufunga mjadala kuhusiana na jide! mkuu umetambikaaaa mizimu lazima itulie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…